Real Madrid wataendelea kuzitafuta alama tatu kuendelea kuongoza katika msimamo wa La liga pale watakapo safiri siku ya Jumapili mpaka Athletic Bilbao walio katika kiwango kizuri.
Los Blancos wanaongoza ligi ya LaLiga kwa tofauti ya alama nne juu ya Barcelona walio katika nafasi ya pili, wakati Athletic Bilbao wapo katika nafasi ya nane, alama nne wamezidiwa na Getafe waliyo katika nafasi ya sita katika mbio za kushiriki kucheza Europa League msimu ujao.
Athletic wamekuwa katika fomu tangu kurejea kwa michezo baada ya kusimama kwa muda, wameshinda michezo mitatu wametoa sare mbili na kupoteza mchezo mmoja katika michezo sita iliyochezwa.

Upande wa Gaizka Garitano kwa sasa wapo katika nafasi ya nane, alama nne nyuma ya Getafe ambao wapo katika nafasi ya sita ambao pia wana michezo na Villarreal, Sevilla, na Atletico Madrid.
Athletic wamekuwa wakipata matokeo katika uwanja nyumbani kwa msimu huu, kwani wameshinda michezo tisa kati ya kumi na sita wakichuana vikalina wababe wa Spain kama Real Madrid, Atletico Madrid na Barcelona.
Athletic hawajawafunga Los Blancos tangu mwaka 2015 igawa kwenye michezo minne iliyopita walikwenda sare.
Wakati huo huo Real Madrid mameshinda michezo yote sita, Zinedine Zidane amezifunga timu kama Eibar,Valencia,Real Sociedad, Mallorca, Espanyol na Getafe waliowafunga katika dakika ya 79 kwa penati siku ya Alhamisi.
Real Madrid watajihakikishia nafasi ya kuchukua taji la La Liga kama watafanikiwa kuwafunga Athletic Bilbao huku dua likiwa Barca wapoteze mchezo wao dhidi ya Villarreal.
Ni vigumu kuona Los Blancos wakishindwa kupata pointi kwa michezo yao minne iliyo salia, michezo hiyo watakabiliana na Alaves, Granada, Villarreal na Leganes.

Kwenye mchezo wa leo Athletic Bilbao watamkosa nyota wao Benat, kutokana na tatizo la paja kwa upande wa Madrid wanaweza kumkosa Raphael Varane kwa kuwa na jeraha kichwani lililopelekea kutoka nje kwenye mchezo dhidi ya Getafe siku ya Alhamisi.
Nacho anaonekana kama hatocheza kutokana na majeraha yanayo mkabili, lakini Eden Hazard anaweza kucheza ingawa mchezo uliopita alipumzika.
Athletic Bilbao Kikosi kinachoweza kuanza: Simon,Capa, Yeray, Martinez, Yuri; Lopez, D Garcia; Muniain, R Garcia, Cordoba; Williams
Real Madrid kikosi kinachoweza kuanza: Courtois; Carvajal, Varane, Ramos, Mendy; Kroos, Casemiro, Valverde; Hazard, Benzema, Isco


Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana makara nzuri
Ernest
Madrid bado ananafasi kubwa ya kushinda kwenye hii mechi
Antony Luseno
Bonge la game hii ni draw ya magoli
Nasra
Hii game cwez kukosa
isha
Duuh hapo tuombe sijui nani atakua mshindi
Njiku
Litakuwa bonge la mechi ili real wanatakiwa washinde ili wajikite kileleni
Fatina mfingi
Ujumbe nimeulewa
Franky
GG3+ iyo game ..
Revina
Ni mechi nzuri sana mpambano utakuwa sio wa kawaida kwa wachambuzi wachambue kwa makini sana sio masiala
Shafii
Bonge la Darb dk 90 ndizo zitakazo amua.
Mwanahamisi
Sio ya kukosa
Magdalena
Dakika 90 mshindi atapatikana tu ila ubashiri wangu nampa real Madrid
Ester jackson
Bonge la mechi ila real Madrid wakishinda watazidi kuwa katika nafasi nzuri
Issa
Madrid hamna kitakachowafanya wasikombe point 3 leo wazidi kuukaribia ubingwa wa la liga
Frank Patrick
Seriously game ngumu sana hii
Sadick
Real Madrid inacheza kufa na kupona mechi za lala salama.Real inahitaji ubingwa kuliko timu yoyote sasa hivi #meridianbettz
Omary lukumbi
Hii mechi itakua ngumu kidogo kwa Madrid lakin zidane atafanya jambo
Povel
Don’t miss. MADrid gar limewaka
Furahav
Hii mechi tusubili matokeoa tu.
Amiri Kayera
Mechi itakua ngum ila Madrid Kwa sasa awana chakupotez
Samiah
Tusubiri matokeotu kwani hii mechi ningumu
Janeflora malisa
Good new
Sabrina
Maoni:Daah mechi itakua ngumu sana hiyo
Edgar
madridi ana nafasi nzur ya kushinda na atashinda
Saupha mohamed
Mechii kubwaa hii
Devotha
Itakua big match
Theckla
Real Madrid inatafuta ubingwa kwa nguvu zote Nina Imani mechi hii anashinda
Neema juma
Makala inaeleweka mno
Latifa juma mohamed
Ahsanten meridian makala iko poa kinoma , lkn mwamuz ni dk 90 uwanjan Nani kuwa kidedea?
David Pere
Uchambuzi ulikuwa mzuri Sana maana ulikuwa unalenga kabisa uhakisia wa mechi husika
mwakalosi
game tough
Evaluziga
Huu mpambano mkali sana
warda
Yaani Mie Kila Siku ni Kuwaombea Madrid Ushindi#Meridianbettz
tumaini
Maoni:hiyo ndio soka kabambe
Tatu
Hii si ya kukosa kabisa sijui nani atatoka mshindi wote wakali
Angelina
Madrid wako vizuri sana msimu huu
Zeiyana
Athletic bilbao kwa leal Madrid cha mtoto tu wasubir kuhesabu magoli asilimia mia
felister
sisi mashabiki wa atletico tunacomment wapi
Rehema
Hii gemu siwezi kuikosa
Salma
Mambo ni moto
Johnmary joel
Madrid wanashinda#meridianbett
Hope mwaikuka
Axante kwa taarifa
fatumakasom
Madrid bado ananafasi kubwa kushinda mechi hii
Mwajuma
Madrid babalao ajawahi kukosea
Flomena
Ni vigumu kuona Los Blancos wakishindwa kupata pointi kwa michezo yao minne iliyo salia, michezo hiyo watakabiliana na Alaves, Granada, Villarreal na Leganes.
Mariam mtandama
Mechi hii nasubiri kwa hamu sana
Gabriel
Uko poa sana 👍