Mshambuliaji wa Arsenal Gabriel Martinelli amesaini mkataba mpaya na klabu hiyo ya Premier League.
The Gunners wamesema Mbrazili, 19, amekubali kusaini mkataba wa muda mrefu.
Martinelli amefunga magoli 10 katika mechi 26 kwenye michuano yote msimu huu baada ya kujiunga kutoka klabu ya Brazili Ituano majira ya kiangazi yaliyopita.

“Nina furaha na Gabi amesaini mkataba mpya nasi,” alisema kocha Mikel Arteta,
“Ni mchezaji mdogo mwenye kipaji na ametufurahisha kwa utendaji, ari na uchapakazi wake.”
Martinelli atakosa mechi zilizosalia kwa msimu wa 2019-20 baada ya kufanyiwa upasuaji baada ya kupata majeraha mazoezini mwezi uliopita.
“Tunatarajia atarejea akiwa fiti kabisa na kutazama maendeleo yake kwenye klabu,” aliongeza Arteta.
Martinelli ni kinda wa pili kusaini mkataba na Arsenal wiki hii baada ya Bukayo Saka.


Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri sana
JULIANA
Martinelli mchezaji mzuri
Sadick
Wachezaji vijana wanataka kucheza mara kwa mara kuimarisha vipaji vyao. Martinelli ni mshambuliaji mwenye kipaji na kujituma#meridianbettz
Johnmary joel
Hongera sana#meridianbett
Neema juma
Habari njema sana
isha
Kila la kheri broo martinelli
Gabriel
Mashabiki wachache walimjua Martinelli wakati aliposainiwa kwanza kujiuga na Arsenal wakati wa dirisha la uhamisho akijjiunga kutoka katika klabu ya Brazil ya Ituano mwezi Julai.
Hata hivyo nyumbani kwao anaonekana kuwa na kipaji cha kumrithi Neymar na tayari ameonyesha kile anachoweza kufanya katika mechi mbili pekee za Arsenal.
Ameichezea klabu hiyo mechi mbili katika ushindi wa magoli 5-0 dhidi ya Nottingham Forest katika kombe la Carabao na siku ya Alhamisi usiku alifunga magoli mawili katika ushindi wa magoli 4-0 dhidi ya klabu ya Ubelgiji Standard Liege.
Katika mechi zote alizocheza kufikia sasa , Martinelli amevutia wengi kutokana na kasi yake na udhibiti wa mpira.
Kama mchezaji mwenza Phillipe Coutinho, uhodari wake ulinolewa kwa kucheza Futsal akiwa mdogo.
Alikuwa miongoni mwa wachezaji wa kikosi cha Corinthians akiwa na umri wa miaka 9 hadi 14 wakati alipojiunga na timu ya daraja la nne nchini Brazil Ituano 2015.
Martinelli kama vijana wengi , alikuwa akimuenzi nyota wa Portugal Cristinao Ronaldo na anadai kwamba anacheza kama yeye.
# Arsenal’s jeshiii
Khadija
Habari nzuri kwa mashabiki#meridianbettz
Povel
Habar njema kwa mashabik wa gunners
Genia Sikaluzwe
Habari njema kwa mashabiki wanasoka
Ester jackson
Habari njema sana kwaashabiki wa arsenal kupata kijana anayejituma zaidi
Rehema Dickson
Ni mchezaji mdogo mwenye kipaji na ametufurahisha kwa utendaji, ari na uchapakazi wake.”
Dorophina
Wamepata kijana bado mdogo na mahiri akiwa uwanjani anatamani kuonesha uwezo wake atawasaidia sana
Magdalena
Pongezi nyingi Sana kwa timu wamepata kijana anaejituma na mahili
Caroline
Hongera zake
Isaya massawe
Hii ni kutokana na kufanya vizuri
Mwanahamisi
Habari zuri kwa mashabiki
Revina
Gabriel Martinell ni haki yake kuendeleza kipaji ,ni kijana anaejituma na anatambua anachofanya
felister
pongezi ziende kwake
Ernest
Ni Deal zuri kwa Gabriel Martinelli kwani ameonyesha kuwa mchezaji wa kuisaidia Arsenal hapo mbeleni kwa kiwango chake
nasra
Hii safi sana kwa mchezaji
Hamidu
Habari njema kwa timu nzima ya arsenal kwa kubakisha mchezaji muhimu Sana
warda
Mie Yangu Macho Hizi sajili sajili#Meridianbettz
Samiah
Habari njema kwa mashabiki
Njiku
Habari nje kwa mashabiki wa arsenal na wapenda soka
Sabrina
Maoni:Hongera yake
Hope mwaikuka
He deserve this coz is best prayer
Issa
Martinell ni bora ubaki hapo london kwakuwa panakupa uzoefu sana
Angelina
Kila la kheri
fatumakasom
Pongezi ziende kwake
Furahav
Hongera sana.
Saupha mohamed
Hongera yake
Rehema
Hii ni habari njema kwa mashabiki wa Arsenal
Amiri Kayera
Ni mchezaji mzur na uzur bado anaumli mdg
Devotha
Habari nzuri
Tahiya
Ni habari nzur
Latifa juma mohamed
Safi Sana
Salma
Habari njema kwa mashabiki
Omary lukumbi
Hongera Arsenal na club kwa ujumla kumbakisha mbrazili
Evaluziga
Habari njema kwa mashabiki wenu
David Pere
Sasa hapo timu ambazo zilizokuwa zinamtaka hazimpati tena
Theonestina
Hongera yake
Tatu
Habari nzuri sana
Mariam mtandama
Hongera yake
Shafii
Jambo zuri Sana kwa Gabriel martinelli ni jambo la kujivunia kuona club bado wanahitaji huduma yake.
tumaini
Maoni:chema chajiuza jamaa fundi anajua wacha abaki
lombo
gud news