Chelsea wamefungua mazungumzo tena ili kumbakiza Willian baada ya kukataa ofa kutoka kwa klabu moja ya China ambayo haijajulikana, lakini Willian atabaki ikiwa Chelsea itatoa ofa zaidi ya mkataba wa miaka miwili.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 tayari ameelezea hamu yake ya mkataba wa miaka mitatu huko Chelsea na ikiwa ataondoka Stamford Bridge atachagua kubaki England, ikiwezekana ni katika klabu kubwa ya London.
Chelsea ya Frank Lampard inajua kuwa Kuna ofa kutoka kwa Arsenal na Tottenham na kocha huyo wa The Blues ana nia ya kumbakiza au kumshawishi asijiunge na wapinzani wake.
Frank Lampard amethibitisha kuwa bado kuna uwezekano wa Willian kuwa mchezaji wa Chelsea kwa msimu wa 2020/21.
JULIANA
Asante kwataharifa
Sadick
Willian bado wamo na amedhihirisha hilo katika mechi za karibuni#meridianbettz
Isaya massawe
Chelsea wakimpata huyu itakua poa sana
Johnmary joel
Itakuwa vizuri wakikubariana#meridianbett
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Amani
Willian bado wamo na amedhihirisha hilo katika mechi za karibuni so menaona abakie tu darajani#meridianbettz
Neema juma
Wasifanye uzembe kumkosa huyo mchezaji yuko vizuri
isha
Chelsea mchukueni jama ili mfanye nae kazi mbona william yupo vizuri
Khadija
Yaan chelsea wakimpata huyu itakuwa poa sana#meridianbettz
Povel
Gud information
Genia Sikaluzwe
Chelsea wa mchukuwe tu huyu jamaa yuko vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Chelsea wakimpata huyo itakuwa safi
Franky
Wamuongeze mkataba tu huyu kijana mbona ana fanya vizuri tu
Dorophina
Wakimpata itakuwa vizuri zaid
Rehema Dickson
Itakua vizuri wakimchukua
Zeiyana
Ni habari njema kwa mashabiki wa Chelsea
felister
habari njema kwa wapenzi wa chelsea
Caroline
Hao ndo Zé blues
Mwanahamisi
Utakuwa vizuri wakimchukua
Magdalena
William bado yupo apo apo Chelsea aendi kokote
Revina
Wamchukuwe tu ni mchezaji ambae ana kipaji na kocha wa Chalsea yupo makini na kazi yake anajua vipaji vilipo
Ester jackson
Safii sana Chelsea ni bora tu alivyo baki mashabiki bado tunampenda
Ernest
Tatizo la Chelsea wamekuwa wakisahau mchango wa Willian kwenye kikosi chao na mara nyingi wamekuwa wakimpa mawazo kwa kukosa namba ya kudumu
Edgar
mazungumzo ayo jaman lakini Chelsea watambue msaada wa William katika club iyo. Ni mcheza anae fanya timu ipande na kuichezesha timu vizur katka ushambuliaji
nasra
Aendelee kubaki maana yupo vzurii
Hamidu
Habari njema kwa mashabiki wa chesea
William bado ni mchezaji muhimu Sana hapo the blue#medianbettz
warda
Sijawahigi muelewa Willian#Meridianbettz
Samiah
Yupo vzr aendelee kubakitu
Njiku
Williams asepe tu maana Chelsea wenyewe hawana mchango na yeye
Hope mwaikuka
Ni taarifa nzur kwang shabik yake
Gabriel
Imekaa poa sana 👍
Issa
Willian inabidi atafute timu ingine apate changamoto zingine pia
Angelina
Good news kwa mashabiki wa arsenal
fatumakasom
Habari nzur kwa mashabiki wa Chelsea
Furahav
Baki tu hapo.
Saupha mohamed
Mumchukue tu jamaa mkalii
Rehema
Ni sawa wakimchukuwa
Amiri Kayera
Jambo zur kumbakiza maan bado anaitajik
Devotha
Willian anastahili kubaki chelsea waongee wampatie mkataba mpya
farida ahmadi
Willian ni mchezaji mzuri Sana hanayejituma abaki tyuu Chelsea kwa kuongeza kasi kwny timu
Latifa juma mohamed
Taarifa njema
Salma
Safi sans Kama ataendelea kuwepo
Theckla
Willian bado yuko vizuri sana
Omary lukumbi
Itakua jambo zur sana the blues wakimbakisha williun Chelsea akatuliza presha za mashabiki wake
Evaluziga
Asanten kwa taarifa
David Pere
Wamalizane tu acheza mpira pale msimu ujaooo
Theonestina
Chelsea wachukue tu uyo jamaa maana Yuko vizur Sana
Tatu
Chelsea wakibaki nae itakuwa vizuri
Shafii
Itakua jambo zuri wafikie makubaliano wampe mkataba hata miaka mitatu atawasaidia William uwezo bado upo
Sabrina
Maoni:William bado anadai yupo fiti
mwakalosi
lampard aachane na hawa wazee bhn
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet