Heister :Ronaldo Alinikatalia Kubadilishana Jezi.


Kiungo wa Ferencvaros, Marcel Heister amedai kuwa aliomba kubadilishana jezi na Cristiano Ronaldo lakini nyota huyo wa Juventus alitupilia mbali jambo hilo mara baada ya mchezo wao wa Ligi ya mabingwa ulaya.

Ronaldo alicheza dakika zote 90 katika kikosi cha Andrea Pirlo kilichoibuka na ushindi wa bao 4-1 huko Hungary mno Novemba 4.

 

Heister :Ronaldo Alinikatalia Kubadilishana Jezi.

Lakini Ronaldo hakufanikiwa kupata bao kitu ambacho kinamfanya Heister aamini kuwa ndiyo sababu ya Ronaldo kukasirika na kumnyima jezi.

Akiongea na SPOX Alidai kuwa “Alionekana(Ronaldo) mwenye gadhabu na hasira kiasi, labda kwa sababu hakutufunga goli, ama kwa sababu nilimkaba na kumpokonya mpira alipotaka kunipiga chenga.”


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

27 Komentara

    ronaldo ajaonesha uungwana

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Nafikiri amefanya jambo Jena kwake mana kama angempa ingemlazima kufukiwa timu kucheza au adhabu kutokana na sheria zilizowekwa na uongezi kwa kipindi hiki cha corona ina walazima wachezaji kutobadilishana jezi

    Jibu

    Siyo poa Ronaldo.

    Jibu

    Ronaldo ni mbinafsi

    Jibu

    Hayo yalikuwa ni maamuzi yake ronaldo kumpa au la kutofunga sio sababu

    Jibu

    Apo cr7 amezingua hajafanya uungwana kabisa

    Jibu

    Ronald Yuko vizuri

    Jibu

    Ni uamuzi wake kutoa au kutokutoa ajikaze tu

    Jibu

    Ronaldo pengine hataki kushare.corona hii wasije kuambukizana

    Jibu

    Ronaldo apunguze ubinafsi

    Jibu

    Kazingua sana katika hili

    Jibu

    duuh jamaa anaimani mbaya sana yani kukataliwa kubadilishana jezi kashafikilia vibaya

    Jibu

    Anajikuta nan sasa

    Jibu

    Duuuh ebwanaeee huyu ronaldo sijui anajikuta nani aisee

    Jibu

    Cr7 ni mwamba asiye kuwana na majivuno katika kulisaka kabumbu

    Jibu

    Ronaldo MTU mbayaaa

    Jibu

    Ronaldo alifanya ili kuepuka maambukizi ya corona

    Jibu

    Ni heshima kuwa na Jezi ya Ronaldo au Messi kabati kwako. Amekuwa akitoa Jezi kwa wengi nadhani Heister hakuwa na bahati siku hiyo

    Jibu

    Nice upadate 👍

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Ronaldo ajafanya poa

    Jibu

    Ronaldo alivyo fanya sio fea

    Jibu

    Sio vzr ronaldo

    Jibu

    Hata mie nisingebadilishana nae kwa kweli

    Jibu

    Hicho nacho kipengele

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.