Inter na Sevilla Vita ya Italia na Hispania.


Agosti 21 ni vita kati ya Inter Milan na Sevilla kwenye fainali ya Kombe la Europa na mshindi atasepa na taji lake.

Inter Milan ilitinga hatua ya fainali kwa ushindi wa mabao 5-0 mbele ya Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa hatua ya nusu fainali.

 

Inter Milan na Sevilla Vita ya Waitalia na Wahispania.

 

Nyota ya mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Lukaku imekuwa kali kwani alifunga mabao mawili sawa na Martinez huku moja likifungwa na D’Ambrosio.

Inakutana na Sevilla ambayo ilishinda mabao 2-1 mbele ya Manchester United ambao bado hawataki kuamini kama walinyooshwa mabao hayo na wapinzani wao.

 

Inter Milan na Sevilla Vita ya Waitalia na Wahispania.

Kwa Inter Milan inakuwa ni mara ya 10 kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Europa huku kibarua cha Kocha Mkuu, Antonio Conte kikiwa kimeshikiliwa kwa muda kwa kuwa inaelezwa kuwa anaweza kutimuliwa ikiwa hatashinda taji lolote msimu huu.

Fainali itapigwa Uwanja wa Rhein Energie Stadion nchini Ujerumani.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma Zaidi

38 Komentara

    Duuh kazi itakuwepo apo Kila team itataka ubigwa dhidi ya mpinzan wake#Meridianbettz

    Jibu

    Maoni:atarii sana mechi hiyo

    Jibu

    Nimefurahi sana Inter kuingia Fainali nahisi mechi itakuwa na mvuto mkubwa sana

    Jibu

    Inter wajipange waondoe wasi wasi wajiamini so ukiangalia sevilla wapo vizuri kwenye matokeo yao na kikosi chao pia

    Jibu

    Bonge la game

    Jibu

    Conte anakibaruwa kikubwa sana kulinda heshima yake siku ya ijumaa mana kama asipo shinda ataondolewa kwenye nafasi yake anatakiwa kukipanga vizuri kikosi chake ili wafanye maajabu aendelee kunaki inter millan. Na imekuwa bahati kubwa sana kwa lukaku kuhama man u na kwenda inter mana hasaivi kiwango chake kinazidi kuwa imara zaidi kwenye ufungaji Wa magoli

    Jibu

    Duuh nimefurahi sana inter kuingia fainal maana ninachoomba tuu inter wafanye vizuri sana

    Jibu

    Nimefurahi Sana kuona inter wanaingia fainali@meridianbettz

    Jibu

    kwa lukaku kuama man u na kwenda inter maana sasahiv kiwango chake kinazidi kuwa imara zaid kwenye ufungaji wa magol

    Jibu

    Hii mechi itakuwa sio ya kitoto maana kila timu inataka kuwa winner

    Jibu

    michuano mikali sana kila mtu anataka kubaki katika nafasi iliyokuwa nzuri

    Jibu

    Nimefurai Sana lnter kuingia Fainali kwasababu ilo game litakuwa siyo yakitoto itakuwa patashika hapo

    Jibu

    Mechi hii ya lnter na sevilla itakua kali sna!!

    Jibu

    Mzigo nampa Inter kwani wana kikosi kipana chenye njaa ya magoli na kiu ya kutwaa taji hili kwani ni kwa muda sasa hawajafanikiwa kutwaa tofauti na Sevilla ambao lile ni kombe lao mama

    Jibu

    Ngoja tuone nani atachukua ubingwa.

    Jibu

    Nani atakuwa bingwa ngoja tuone

    Jibu

    Big mechi

    Jibu

    Mechi kalii

    Jibu

    Mechi kalii

    Jibu

    Hii mech kal sana 👍

    Jibu

    Kutachimbika

    Jibu

    Don’t miss

    Jibu

    Hapo patakua hapatoshi yani patashika nguo kuchanika

    Jibu

    Mechi itakua kali sana

    Jibu

    Inter inaonyesha ari na nguvu kubwa kushinda kombe hili ambalo Sevilla ni kama lao#meridianbettz

    Jibu

    Mechi itakuwa kalii Sana ngoja tujionee wenyewe

    Jibu

    Mambo mazur hngr inter

    Jibu

    Bonge la mechi

    Jibu

    Hii mechi ni ya kumtoa chatu vichakani , don’t miss this.

    Jibu

    Kwa Inter Milan inakuwa ni mara ya 10 kutinga hatua ya fainali ya Kombe la Europa huku kibarua cha Kocha Mkuu, Antonio Conte kikiwa kimeshikiliwa kwa muda kwa kuwa inaelezwa kuwa anaweza kutimuliwa ikiwa hatashinda taji lolote msimu huu.

    Jibu

    Ila hapa inter wanachukua mana wanajitahidi sana#Meridianbettz

    Jibu

    bonge moja la mechi

    Jibu

    Hivi vikosi vya Leo wanatakiwa kujipanga kisawasawa

    Jibu

    Hatarii

    Jibu

    Hii vita itakua nomaa sanaa.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.