Flick-Gnabry Anakaribia Kuwa Mchezaji wa Hadhi ya Dunia.

Hansi Flick anaamini Serge Gnabry anakaribia kuwa mchezaji mwenye hadhi kubwa baada ya mshambuliaji huyo kufunga magoli mawili kwenye mchezo wa nusu fainali Bayern Munich walipokutana na Lyon siku ya Jumatano.

Gnabry alifunga magoli yote kipindi cha kwanza cha mchezo kabla Robert Lewandowski kufunga goli la tatu dhidi ya Lyon na kufuzu kucheza fainali ambapo Munich watakutana na PSG.

Mchezaji huyo wa Ujerumani amefunga goli 23 kwenye michezo 45 msimu huu na kocha mkuu wa Bayern Munich Flick amehisi Gnabry amekaribia kuwa kati ya wachezaji bora ulimwenguni.

“Goli la ufunguzi alilofunga lilikuwa zuri sana, jinsi alivyo maliza na jinsi alivyojiweka kwenye nafasi kufunga,” Flick alisema.

“Na kama unafuatilia maendeleo yake sio tuu Bayern M,unich hata kwenye timu ya Taifanafikiri unaweza kukubaliana na mimi kiukweli amekaribia sana kuwa mchezaji wa dunia.

“Anabadilika sna ni hatari sana anakuwa eneo la goli na tunafuraha sana kuona amefunga na kuchangia kwenye ushindi wetu wa leo.

“Alikuwa na kiwango kikubwa na ninashawishika kusema amefikia kusema amefikia malengo.”

Lyon walipata nafasi nyingi kwenye nusu fainali hiyo kabla Gnabry kutupia kwenye nyavu za Lyon mara mbili.

Hansi alikiri kwamba Bayern inatakiwa kuimarika kwenye safu ya ulinzi kwani PSG ni wazuri kwenye ushambuliaji kama Lyon.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

35 Komentara

    Kila kitu kinawezekana kama akiongeza juhudi

    Jibu

    Bayern Munich wanajua kufurahisha mashabiki mana vipigo anavyo piga sio chini ya magoli matatu msimu huu umewawakia wachezaji Wa Bayern kuwa wafungaji Wa magoli mengi

    Jibu

    Me siona kama kuna uwezekano Bayer munch kuimarisha kikosi chao bado wana kikosi kizuri sana waondoe wasi wasi kuusu PSG. Ongera sana flick

    Jibu

    Ukimuangalia Gnabry unamona ni mchezaji ambaye kila siku kiwango chake kinaongezeka na kuwa mwiba zaidi, Binafsi namuona ni world class player kwasasa.

    Jibu

    Anastahili pongezi na azidishe juhudi
    @meridianbettz

    Jibu

    Duuh jamaa nyota yake imenga,ra mungu amsimamie pongezi sana kwake

    Jibu

    Bayern wanajua kuwafurahisha mashabiki maana magoli yanayofunga si chin ya magol matatu na kuendelea

    Jibu

    Ukimwangalia Gnabry unamuona ni mchezaji ambaye Kila siku kiwango chake kinaongezeka na kuwa mkali zaid#Meridianbettz

    Jibu

    Gnabry kwa sasa amefika mbali maana kadiri siku zinavyozidi kwenda kipaji kinazidi kukuwa na atafika mbali

    Jibu

    bayern wamepambana katika kuhakikisha wanapita katika nusu fainali na wakiendelea hivyo kombe litakuwa lao

    Jibu

    Vizuri Sana akiongeza juudi ndoto zake zitatimia

    Jibu

    Yuko vizur jitihada tu zinatakiwa!!

    Jibu

    Kwa Migoli anayopiga kwa upande wangu naona ameshafikia kiwango cha Dunia siyo anakaribia,kwa sasa yupo kwenye kiwango cha juu katika ufungaji akiwa na timu yake ye Bayern na kuna asilima 80 ya kuweza kutwaa UCL msimu huu

    Jibu

    Gnabry namkubali sana.

    Jibu

    Namkubali sanaa Gnabry

    Jibu

    Anatakiwa aongeze juhudi

    Jibu

    Anajituma kiwango chake kipo vizuri

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Alickokizungumza Flick kocha wa Bayern Munich n kwel kabisa kwan Gnabry amekuwa n mchezaji ambaye anajituma sana

    Jibu

    Anakiwango kizur san

    Jibu

    Nie ukweli usio pingika Gnabry anajituma sana

    Jibu

    Kila la kitu kinawezekana kikubw kujituma na kuongeza bidiii tu hapo hatafika malengo tu

    Jibu

    Hii ni habari mbaya kwa Arsenal iliyomuuza kwa Dola Millions 5 tu kwenda Bayern na kwasasa ana thamani ya mamilioni ya Dollar#meridianbettz

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Hongera Sana

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Alikuwa na kiwango kikubwa na ninashawishika kusema amefikia malengo, hakika ukijituma na bidii unafikia malengo honger Sana Serge Gnarby.

    Jibu

    Bayern Munich wanajua kufurahisha mashabiki mana vipigo anavyo piga sio chini ya magoli matatu msimu huu umewawakia wachezaji Wa Bayern kuwa wafungaji Wa magoli mengi

    Jibu

    Ajitahidi tu mana wenzie kiwango kinapungua#Meridianbettz

    Jibu

    kila kitu kinawezekana kama akiongeza juhudi

    Jibu

    Flick anajitahidi na kujituma ktk kikosi chake

    Jibu

    Namuelewa sana

    Jibu

    Hii yote inatokana na kujituma kwake anapokua uwanjani.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.