Son Heung-min na Harry Kane wameungana kwa magoli 28 ya Premier League, Ndio Muunganiko bora wa Nne kwa Wachezaji wawili kuungana katika mabao mengi zaidi katika historia ya Premier League.
Harry Kane na Son Heung-min wameshirikiana kwa mabao nane ya @premierleague msimu huu ndani ya timu ya Tottenham Hotspurs.
Ni Teddy Sheringham na Darren Anderton (1992-93 & 1994-95) na Sheringham na Chris Armstrong (1995-96) wamewahi kujumuika kwa mabao mengu zaidi katika msimu mmoja wa PL kwa Spurs (wote 9).
Kwa sasa ndani ya PL hizi ndio combination bora zaidi ya yeyote ile.
36 – Frank Lampard na Didier Drogba
29 – David Silva na Sergio Aguero
29 – Robert Pires na Thierry Henry
28 – Heung-Min Son na Harry Kane
27 – Darren Anderton na Teddy Sheringham
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.
magdalena
huu muunganiko wao ni balaa lazima moto uwake uko uingereza
latifa juma mohamed
Kwa hiki lazima kiwake.
Tatu
Kane na son wameunga EPL kutanoga
Angelina
Mambo motoo
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri EPL pamenoga
Shani
Si mchezo kazi ipo
Mwajumah
EPL pamenoga
Fatina mfigi
EPL kumenonga
Khadija
Mambo moto
Dorophina
Vichwa viwili vimekutana EPL lazima kuwake moto
Mwanahamisi
Sio mchezo mambo matamu
Elika
EPL kumenoga
Janeflora malisa
Safiiii.
Amiri Kayera
Afu ndo kwanz ligi imeanza watafunga sana
zeiyana
son yupo vizuri sana hanajituma hipasavyo
Adelta
EPL kunaendelea kunoga
Fatuma kasomo
Yupo vizuri
lombo
mambo ni moto na meridianbet
Hidaya
Mambo ndio kwanza yameanza
Povel
KANE and son ronaldo is best combination in ueropa and epl is now
aisha
Mambo ya soka hayooooo
Issa
Kolabo matata totenham wataweka rekod nzur
Hopemwaikuka
Hatarii sana
Mariam mtandama
Yupo vizur
Gabriel
Wako vzur sana 👍
Saupha mohamed
Mambo moto
Sabrina
Hao Watu hatari
warda
Kane yupo poa sana
farida ahmadi
Wako vizuri Sana
Sauda
EPL mambo ni moto