KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mrundi, Said Ntibazonkiza, amesema timu hiyo ilianza kumfuatilia miezi miwili hadi mitatu iliyopita kabla ya kufikia makubaliano ya kusaini mkataba huku akitamba ametua kwa kazi moja tu ya kusaidia timu kutwaa mataji.
Ntibazonkiza alisajiliwa na Yanga Oktoba 12 kwa mkataba wa mwaka mmoja na nusu akiwa mchezaji huru ambapo vijana hao wa Jangwani walimnasa baada ya kumalizika mchezo wa kimataifa wa kirafiki kati ya Tanzania dhidi ya Burundi uliomalizika kwa Burundi kupata ushindi wa bao 1-0.
Bao la ushindi kwa Burundi ambalo liliacha ganzi kwa Watanzania Uwanja wa Mkapa, Oktoba 11 lilifungwa na yeye mwenyewe Ntibazonkiza.
Kwa mujibu wa Ntibazonkiza amekiri ujio wake katika timu hiyo, kocha mpya Cedric Kaze amehusika kwa asilimia mia moja kutokana na kuwahi kumfundisha kwenye timu ya Taifa ya Burundi, mwaka 2011.

“Mimi nimekuja Yanga sio kwa bahati mbaya, wapo wanaofikiria nimesajiliwa baada ya mchezo dhidi ya Tanzania.
“Tulikuwa na mazungumzo na Yanga miezi miwili au mitatu nyuma.Lakini nilishindwa kujiunga nao kutokana na changamoto kadhaa zilizokuwepo wakati huo. Sasa nilipokuja tena hapa ikawa rahisi kumalizana nao kwani hata yale yaliyotukwamisha mwanzo hayapo,” amesema.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.


Tatu
Ntibazonkiza amekuja kufanya maajabu ndani ya yanga
Angelina
Naamini ataleta mabadiliko yanga
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri atareta mafanyikio kwenye kikosi hicho
magdalena
tunasubiri kuona mabadiliko ya hali ya juu yanga
Shani
Acha tuone kama wataweza
Elika
Wataweza kweli
Adelta
Tunasubiri tuone mabadiliko yao
Mwajumah
Tunasubili tuone utendaji wake wa kazi akiwa yanga
Fatina mfingi
Tunatak tuone mabadiliko kw yanga!!
Dorophina
Kila lakheri said katika majukumu yako mapya
Khadija
Hebu ngoja tuone
Mwanahamisi
Ngoja kwanza tuone
Janeflora malisa
Tusubir matokeo
Amiri Kayera
Imeleta bonge la kocha yanga
zeiyana
yanga ndio sehemu maalumu ya kuinua kipaji ukishanawili tu majirani lazima watakutolea macho juudi zako na nizamu yako ndio mafanikio yako piga kazi kijana hupo sehemu sahii
Fatuma kasomo
Kazi kwenu yanga
lombo
habar njema
aisha
Kama nawaona wananchiiii
Povel
Si kwl wachez wamekuwah watu wakudanya umma tujiulizeh kitu Kama KAzE asinge sain yanga je ntabazioka asingejiunga na yanga kwl all in all ngoj tuone uwanjan impact yake usajil mpya yanga
Issa
Aonyeshe uwezo wake uwanjan
Hopemwaikuka
Fresh tu
Gabriel
Yanga hawajawah kukosea kwenye usajil wao
Saupha mohamed
Good news
Sabrina
Tunasubili tuone maujuzi yake
Flomena
Mungu waongoze mlete mabadiliko sasa
Rehema
Good
warda
Ata wamsajili nani bakola zipo pale pale
farida ahmadi
Ngoja tujionee wenyewe
Sauda
Jembe limekuja kuleta mabadiliko Yanga
Ernest
Tunasubiri kuona kama yaliyomo yamo au