Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Manchester United imepewa tumaini kwamba inaweza kusaini mkataba na winga wa Borussia Dortmund na England Jadon Sancho, 20, baada ya kumkosa msimu uliopita.

United pia wanamlenga kiungo wa kati wa Sporting Lisbon mwenye umri wa miaka 16-Luis Gomes. Kiungo huyo wa safu ya kati Mreno amepewa jina la ‘ Luis Figo’ ajaye nchini mwake.

Tetesi zinasema mshambuliaji wa Wolves Adama Traore, 24, yuko tayari kupokea wito Barcelona na Liverpool ili kusaini mkataba mpya wa pauni 100,000-kwa wiki katika Molineux.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Mlinzi wa zamani wa Liverpool Jamie Carragher anasema klabu hiyo lazima imsajili beki wa kati baada ya mchezaji wa kimataifa wa Uholanzi Virgil van Dijk, 29, kupata majeraha wakati wa mechi yao dhidi ya Everton.

Tetesi zinasema Winga wa Liverpool Harvey Elliott, mwenye umri wa miaka 17, alikitathmini kikosi cha Blackburn kabla ya kukubali uhamisho wa mkataba wa mkopo.

Mchezaji na kocha wa Derby County Wayne Rooney, mwenye umri wa miaka 34, anatarajia kupata matokeo ya vipimo vya Covid-19 test Jumatatu baada ya kugundua kuwa rafiki yake aliyemuuzia saa ya mkononi alikuwa na virusi vya corona.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Klabu za EFL zinatishia kuzuwia jaribio la kulipa ushuru ili kupata dhamana ya serikali .

Mshambuliaji wa Argentina Paulo Dybala, mwenye umri wa miaka 26, alikuwa na malumbano na afisa mkuu wa soka wa Juventus Fabio Paratici baada ya kuachwa nje ya kikosi kilichoingia uwanjani Jumamosi.

Tetesi zinasema kiungo wa kati wa Liverpool na Uholanzi Georginio Wijnaldum, pia analengwa na Barcelona. Mchezaji huyo, 29, yuko mwaka wa mwisho wa mkataba wake na msimu ujao atakuwa huru.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.
 

Winga Mfaransa Allan Saint-Maximin, mwenye umri wa miaka 23, alikuwa mmoja wa wachezaji wa Newcastle wanaolipwa mshahara mkubwa zaidi aliposaini mkataba mpya wa miezi sita- ambapo malipo yake yaliongezeka mara dufu hadi kufikia pauni 70,000 kwa wiki.


Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.

Soma Zaidi

28 Komentara

    united waachane na matuamini ya juu ya kumnasa sancho hawezi kwenda pale

    Jibu

    Iko njema ratiba ya leo.

    Jibu

    Man u awakati tamaa juu ya kumpata sancho

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Itakuwa vizuri Sana Sancho akiweka Saini yake Man U

    Jibu

    Sancho akijisajili kwa man u itakuwa vizuri

    Jibu

    Man u bado tu hawajakata tamaa juu ya kumpata sancho

    Jibu

    Ratiba iko poa

    Jibu

    Man u mbona wanaangaika na sancho sana waachane nae

    Jibu

    Ratiba iko poa

    Jibu

    Iko poa sana

    Jibu

    Iko bomba

    Jibu

    Habari njem za usajir

    Jibu

    man u bado wanapambanaia sain ya sancho wakati wanatakiwa wasaijili wachezaji wenye uwezo ili kukamilisha kikosi chao kiwe kwenye ubora ukiangalia wachezaji wapo wengi chipukizi wenye uwezo mkubwa na sio kupambania nguvu ya mtu mmoja tu sijui wanakwama wapi

    Jibu

    Iko poa

    Jibu

    saf

    Jibu

    Iko poa sana hii

    Jibu

    Sancho ndio habari ya mjini

    Jibu

    Usajil mambo ni moto

    Jibu

    Sajili muhim sana

    Jibu

    Zko njema

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Imekaa poa sana 👍

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Inapendeza

    Jibu

    Man U Wajitahidi sana jamani tunaumia moyo sana

    Jibu

    Taarifa ziko poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.