Lautaro Martinez Azikacha Arsenal na Tottenham

Lautaro Martinez amekubali kuongeza kandarasi mpya na timu yake anayoitumika kwa sasa ya Inter Milan, ambapo katika mkataba huo mpya hakuna kipengele cha kuruhusiwa kuachiwa.

Martinez ambaye alikuwa anafuatiliwa na vilabu vya Arsenal na Tottenham katika dirisha la majira ya kiangazi.

lautaro martinez
lautaro martinez

Kwa sasa usajiri wa Martinez utakuwa mgumu kutokana na kukubali kuongeza kandarasi nyingine ambayo itamuweka na kufungumana na klabu kwa muda mrefu ambapo hakuna kipengele ambacho kinachomuwezesha kuondoka.

Lautaro Martinez mwenye umri wa miaka 24 alikuwa anathamani ya £55millioni, wakati akiwa amebakisha miaka miwili katika kandarasi yake kwenye dirisha la usajiri lililopita, kwa sasa thamani yake itapanda zaidi kulingana na kandarasi ambayo atakwenda saini.


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.