Liverpool Kuwania Saini Ya Donyell Malen

Ripoti kutoka jarida la Sky Sport Germany, klabu ya Liverpool ya Uingereza yataka kupata saini ya kinda wa kiholanzi Donyell Malen ili kuboresha eneo lao la ushambulizi kuelekea msimu wa 2021/2022.

Jarida hilo la Ujerumani limeeleza kuwa Liverpool inataka kuboresha eneo la ushambuliaji ili kujihakikisha kuwania ubingwa wa EPL msimu ujao.

Nyota wa PSV Donyell Malen alikuwa miongoni mwa wafungaji bora msimu uliopita akitupia magoli 19 na kutoa pasi 8 za magoli katika Bundesliga msimu uliopita.

Malen ana miaka 22 tu na amejiunga na PSV mwaka 2017 na toka hapo ametupia mara 55 katika mechi 116 alizocheza akiwa na jezi ya PSV.

Katika michuano ya Euro 2020, Walen alifanikiwa kufunga kutoa asisti kwa Memphis Depay ambaye alifunga goli katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Marcedonia.


USHINDI BILA MIPAKA!

Hakuna mipaka ya ushindi kwenye Keno Instant ya meridianbet Kasino, hii wewe ndiyo una uamuzi zaidi juu ya mchezo na nafasi ya machaguo kibao.
Arsenal, Arsenal Wawasilisha Ofa ya Pili Joaquin Correa., Meridianbet

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.