Kiungo huyo ambaye ni mzaliwa Sudan, wakati VPL iliposimama kwasababu ya janga la Corona lakini bado hajarejea pamoja na Ligi kurejea tangu Juni 13.
Msemaji wa Simba, Haji Manara wiki iliyopita aliahidi klabu inafanya kila kinachowezekana kuhakikisha kiungo huyo anarejea, lakini inaweza kuwa changamoto kwani lockdown imesogezwa hadi Juni 29.
Simba ilikuwa na mataumaini Lockdown nchini humo ingemalizika Jumamosi hii, lakini serikali imeongezwa hadi Juni 29.
Kwa uamuzi huo wa serikali ya Sudani inamaana Shiboub atakosa mechi za Simba dhidi ya Tanzania Prisons, Mbeya City, na Ndanda FC.


Elika
Mipango ikifanyika kila kitu kitakwenda sawa..natumai atawasiri tu Tanzania na mambo mengine yataendelea
Dorophina
Habari mbaya kwa mashabiki wa simba lkn bado wakali wapo watawakilisha vizuri mechi zote
Povel
Shiboub a.k.a muhogo mchungu fundiiiii mmoja tok Sudan habar mbaya kwa mashabik wa Simba na wapenda VPL
Theckla
Hii ni habari mbaya kwa Tim ya Simba
Ester jackson
Asante meridian kwa taarifa
Shafii
Ni habari mbaya kwa Simba kukosa huduma ya mchezaji muhimu Kama shiboub
Genia Sikaluzwe
Habari mbaya Sana kwa Wana simba
Zeiyana
Mi ningependa hikifika hiyo trh 29 wapeleke mbele zaidi..!
Lydia Emmanuel Magoti
Duu hii nihabali mbaya kwakrabu yasimba mnakwama wapi msimbazi
felister
sad news kwa mashabiki wa simba
Caroline
Haaa wasubiri tu corona iishe
Issa
Dah pole yao simba
farida ahmadi
Dah inasikitisha Sana lakini hasubiri tyuu corona ikipungua mipango itakaa sawa
Mwanahamisi
Ni habari mbaya kwa wapenzi wa simba
Hamidu
Daa!siku chache zijazo kiungo fundi atakuja kukiwasha#. Meridianbettz
Neema
Sio habari nzuri hii kwa wanasimba
Furahav
Huyu corona haondoki tuu.
isha
Duuh simba jamani itakuaje 🥱🥱🥱🥱🥱🥱 mimi nimeshavulugwa
Sadick
Duh! Simba inatakiwa kuendelea na mechi bila kufikiria pengo la Shiboub #meridianbettz
fatumakasomo
Sio habar nzuri kwa mashabiki wa simba
Omary lukumbi
N msudan na mchezaj makin sana ila inabidi tuu watafute mtu wa ku replace nafasi yake mpk pale lockdown itapo ondolewa kwenye nchi yao na kuweza kurud tena kazin
Leonard
Bado simba wanaweza kucheza bila yeye
Zuhura omary kindamba
Hii sio Habali njema kwa wanachama wa simba ila nafasi bado wanayo na watafanya vizuri
Mwanaidi
Hii sio habari mbaya kwa simba tuu bali mpka kwa sisi mashabiki
Frank Patrick
Wafanye kama ana Injury tu
Sabrina
Maoni:Duuuh simbaa 😴
Hope mwaikuka
Avumilie tu
Agness
Pole Yao simba
Amiri Kayera
Dah aludi tumemmix mwamba
Theonestina
Habari mbaya kwetu cc mashabiki wa Simba
Edgar
asnte kwa taarifa
Saupha mohamed
Daah mashabiki wa simba tunasikitika sana
David Pere
Abakie tu huko ubingwa wenyewe Kama tayari washachukua simba
Ernest
Shiboub Bonge la kiungo huwa naenjoy kumuona uwanjani akifanya kazi yake
Tahiya
Shiboub tumekumis sana wana msimbazi
Latifa juma mohamed
Shiboub kiungo Bora, wanamsimbaz tunasikitika kwa taaarif , natumai mung atamsaidia atarrud uwanjan
Mathayo sonje
Atatafika tu kila kitu kikikaa poa
Hidaya
Duh habari mbaya kwa mashabiki wa simba
mwakalosi
apumzike tu wapi vijana wa kufanya kazi yake
Samiah
Washanivuruga mm watu wa simba
Edgar
Daaa kweli Sudan wapo vizuri lockdown mpaka leo#Meridianbettz
warda
Daaa kweli Sudan wapo vizuri lockdown mpaka leo#Meridianbettz
Magdalena
Sudan mnatukwamisha Sana sisi mashabiki wa simba
Devotha
Ooh! Poleni sana simba ila ata asiporudi kombe mtachukua
Jane Michael
Duh pole sana simba
Adelta
Nawapa pole Sana Simba
Evaluziga
Duh! Bas wasubiri corona iishe
Mwajuma
Wasilalamike sana wanasimba mbona wanamajembe yakutosha
tumaini
Maoni:habar mbaya kwa timu ya simba
Khadija
Habari mbaya kwa mashabiki wa simba.yaan hii corona hatari sana#meridianbettz
Salma
Habari mbaya kwa wana simba
Gabriel
Lock down imewaathir wachezaji wengi sana hapa nchin
Rehema
Pole yao
Amani
pengo la Shiboub wazibaji wapo #meridianbettz
Johnmary joel
Habari hizi siyo nzuri kwa simba#meridianbett
Asia Abdy
Pole kwake
Mariam mtandama
Duuuh
Saupha mohamed
Pole yao
Samira
Moto ule ule kwa wanasimba bila hata huyo shibuob tutashinda
Angelina
Hili ni pengo kwa kwa timu ya simba
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
Fatina mfingi
makal nzur