Man City Kumwania Michut

Manchester City inataka kumsaini kiungo wa Paris Saint-Germain, Edouard Michut. City tayari wamesema wamepeleka ofa kumnunua kinda huyo mwenye miaka 17 ambaye amebakiza mwaka mmoja kwenye mkataba wake na PSG.

Japo, hata kama dili halitafikiwa, City wanaamini watamsaini bure mkataba wake ukimalizika mwaka 2021, pale ambapo atakuwa akidaiwa gharama za mazoezi kwenye hiyo ya Ufaransa.

Vilabu vingine vya Premier League, Hispania na Italianwanawinda saini ya kinda huyo, ambaye amefanishwa na nyota wa PSG, Marco Verratti.

Michut ni mchezaji wa Ufaransa chini ya miaka 17 ambae amkuwa aking’aa na timu ya PSG chini ya miaka 19, kabla ya Ligi za Ufaransa kuhairishwa kwasababu ya Corona.

5 Komentara

    Ni jema sana ,Asante kwa taarifa.

    Jibu

    gud

    Jibu

    Ni habar njema

    Jibu

    Football age inatutesa sana waafrika kwenye kugundua vipaya ingali vidogo na kuwah kuviendeleza

    Jibu

    Karibu Ethiad Michut.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.