Afisa habari wa Simba SC, Haji Manara amewaahidi Antonio Nugaz na Hassan Bumbuli Tsh1 million kila mmoja ikiwa Mabingwa hao watashindwa kuifunga kwenye mechi ya Jumapili.
Timu hizo mbili zitakutana kwenye Kombe la FA nusu fainali kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo mshindi atacheza dhidi ya Namungo FC kwenye fainali. Msemaji huyo wa Simba ametanabaisha kuwa wamejipanga kuitoa Yanga kwenye michuano hiyo.
“Tunaingia uwanjani tukiwa na lengo la kushinda mataji mawili msimu huu,” Manara aliwaambia wanahabari Jumamosi.
“Tuna kikosi kipana kuliko wapinzani wetu, na hii ndio sababu tunabadilisha kikosi kila wakati. Kushinda michuano lazima uwe na kikosi kipana na hiyo ndio faida yetu kubwa.
“Kama tutapoteza dhidi ya Yanga, Nitampa [ Antonio Nugaz na Hassan Bumbuli] TSh1 million kila mmoja.”
Ni kwa mara ya tatu miamba hiyo ya Ligi Kuu Tanzania Bara kukutana msimu huu, wakati mzunguko wa kwanza ulimalizka kwa sare ya 2-2 na mzunguko wa pili Yanga alipata ushindi wa 1-0 kutoka kwa Bernard Morrison.
caroline
Manara pole yako leo yanga wanashinda
Johnmary joel
Simba hawana mpinzani#meridianbett
Fatina mfingi
Simba msituangushe 2 leo
Ester jackson
Manara ndio kawaida yake anaweka ahadi lakini hatekelezi Mara ngapi ameshasema kama timu ya yanga ikimfunga simba anafanya kitu na hafanyi aende zake tusubiri mchezo uwaze sio anaongea tu anatoa ahadi zisiso kuwa na mshiko mpaka akija kupigwa ndio ataelewa anacho kiongea .kila laheri yanga na safari hii ukishinda yanga inataka manara tumuweke kikaongoni.
tumaini
Maoni: manara anajiamini sana kwanini
Zeiyana
Mi na washangaa sana hawa simba wao ni mabingwa tayari washajitangaza lakini sijui hawana imani na wachezaji wao
Tatu
Ili ni tatizo kubwa kwa timu zetu za kitanzani bila ya ahadi awawezi kujituma ila poa mm nawatakia simba ushindi mnono
Genia Sikaluzwe
Simba wako vizuri ndiyo maana manara anajiamini
felister
Mpira dk 90 maneno maneno ya nini
Lydia Emmanuel Magoti
Anacho kiongea manala kipo sahii ajakosea mzee baba atunaga maneno siye
Dorophina
Leo ndio leo asije akakimbia bure si tunasubiria dakika 90
Khadija
Simba msije mkatuangusha mashabiki yani leo macho yote kwenu simba oyeeeee#meridianbettz
Flomena
Mpira ni dakika 90 na mpira ni uwanjani sio maneno wachaa tuone
Franky
Uyu manara tatito ana ongea sana ngoja kimtoke kijibu Leo akeshe kujikuna
Adelta
Asante kwa makala nzuri
@meridianbettz
Revina
Tumemzoea huyo hana jipya ,siku zote nikuongea tu tungoje mtanange tu ndo msema kweli
Antony Luseno
Leo na tena simba wakifungwa sijui manara ataongea nini
Sadick
Kariakoo Derby ndio habari ya mjini #meridianbettz
Amiri Kayera
Simba lazm ishinde
lombo
THIS IS SIMBA
Samiah
Ushindi niwa simba
Janeflora malisa
Simba itashida
Hope mwaikuka
🕗
mwajuma
Ushindi ni wasimba #Meridianbettz
isha
Manara anajiamni sana asubili dk 90 aone kama milioni yake haijaliwa
Rehema
Ngoja tuone dakika 90
Isaya massawe
Hayo maneno tuu
farida ahmadi
Mashabiki tunasubiri tujionee wenyewe
Edgar
Mpira uwanjani sio maneno
Ernest
Uzuri wa Dabi bhana kuna tambo nyingi sana kila mtu anajitamba kivyake lakini mwisho wa siku dakika 90 zitaamua, Yanga kama atampiga Simba leo basi atakuwa amejiwekea heshima kubwa sana na kukata ngebe za simba, Binafsi nampa Simba alama kubwa zaidi kuibuka na ushindi kama alivyosema Manara sababu ya kuwa na kikosi kipana.
fatumakasom
Yanga anafungwa bila ubishi
Magdalena
Kila la kheri simba sport club
devotha
Manara anaongea sana, dk 90 tutajua mshindi
Furahav
Simba noma sana.
Njiku
Manara ndivyo alivyo
Neema juma
Hapa kikubwa tusubirie dakika 90 tu kiroho safi tujue nanii mshindi
Shafii
Inawapa Sana molari wachezaji.
Saupha mohamed
Simba IPO juuuuu mawinguniiiiii
Latifa juma mohamed
Am so sad for my yanga!!! Nisiwe mchoyo wa fadhila hongeren wanamsimbaz Leo hakika mmetuweza wapinzani wenu
Tahiya
Manara yuko sahihi tuna kila sababu ya kushinda mechi iyo
Asia Abdy
Hongera simba kwa ushind wa nguvuu
theckla
Habari nzuri Asante meridianbet
David Pere
Kweli Alikuwa na uhakika huyu jamaa
Salma
Hongera yao
mwakalosi
huyu sope mmoja sawa na yanga nzima haha haha
Evaluziga
Manara anajiamin
Angelina
Manara anautani wa ngumi
warda
Nilijua tu Simba Watashinda kwa kishindo#Meridianbettz
Gabriel
Good news 👍
Omary lukumbi
N msemaji mkuu haji manara mtu asie ishiwa na vituko
sabrina
Mmmmmh!!
Mwajuma msangi
Hongera zao simba