Mchezaji wa zamani wa Liverpool na Czech Republic straika Milan Baros atastaafu baada ya msimu wa Ligi ya Czech kimalizika.
Baros alitwaa Champions League akiwa na the Reds mwaka 2005, mwaka baada ya kushinda kiatu cha dhahabu Euro 2004, wakati timu yake ilipofika nusu fainali.

Baros, 38, kwasasa anakipiga katika timu ya Banik Ostrava katika nchi yake ya nyumbani, amekuwa akipambana na majeruhi miaka ya karibuni.
“Akili inatamani, lakini umesema hauwezi,” alisema Baros.
“Matatizo ya kiafya yamekuwa yakiniandama kwa muda mrefu na mwili haufanyi kazi kama ilivyokuwa hapo awali kwenye maisha yangu ya soka.”
Aliongeza: “Sababu ipo wazi. Umri hauwezi kusimamishwa. Cha pili ni upande wa afya ambayo imekuwa mbaya msimu uliopita, baada ya kazi nzito. Nimenza kusikia maumivu ambayo siwezi kuendelea na maisha ya soka.”
Baros pia alikuwa kwenye kikosi cha Aston Villa na Portsmouth kwenye Premier League, na kushinda Kombe FA mwaka 2008.
Pia aliwahi kucheza Galatasaray, Lyon na Antalyaspor kabla ya kwenda kwao Czech Republic mwaka 2014.
Alistaafu soka la kimataifa mwaka 2012


Magdalena
Baros kashakuwa mtu mzima Apumzike tu
Franky
Ame kua na mapancha sana ni vizuri aka punzika humri ume ends…
Sadick
alicheza kwa mafanikio akiwa Liverpool. Sio rahisi kwa mshambuliaji au Beki kuwa katika kiwango katika umri wa miaka 38 na kuendelea#meridianbettz
Johnmary joel
Maamuzi yake kama ameamua apumzike#meridianbett
JULIANA
Akuna mwanzo usio na mwisho,kustaafu kwake ni mwanzo mzuri wa chipkizi mpya kufuata nyayo zake
Amani
Sio rahisi kwa mshambuliaji au Beki kuwa katika kiwango katika umri wa miaka 38 na kuendelea#meridianbettz
Neema juma
Sio mbaya akapumzike tu
isha
milan baros umri wake umeshaenda apumzike tuu
Lydia Emmanuel Magoti
Nisahii kustafu apumzike tuu kasha tumikia kazi yake
Isaya massawe
Ni wakati sahihi kwake
Genia Sikaluzwe
Ni sawa muda umekwisha
Khadija
Kashakuwa mtu mkubwa apumzike#meridianbettz
Povel
Baros pumzika fund wangu
felister
uamuzi mzuri ni vizuri ukistaafu
Ester jackson
Umri umempa mkono sasa apumzike
Caroline
Pole sana.pumzika tu
Mwanahamisi
Umri umeshaenda
Dorophina
Umri umeenda ni jambo jema kwake kupumzika
Ernest
Baros balaa lake sio dogo ukifuatilia historia yake.
Hamidu
Baro’s fundi wa mpira ! Gwiji la Liverpool anastaff akiwa bado uwezo upo bigup baros#meridianbettz
Revina
Kwa historia yake na umri alokuwa nao mwacheni apumzike ,alifanya kazi kubwa ,wacha na chipukizi awape nafasi
nasra
Mapumziko ni muhimu kwa mchezaji j
Edgar
pongezi kwake kwa kipindi kilefu na miaka mingi tangia kuanza kutumikia soccer. Na umri umenda sana so Hana budi kustafu…
Zeiyana
Milan baros n mchezaji mzuri sana ambaye anastafu akiwa na mafanikio makubwa sana katika ulimwengu wamichezo kutokana na mafanikio yake alipoanza mpira mpk muda huu n habari njema sana kwake
Samiah
Umeshakwenda umri bora akapumnzika
warda
Jaman Baros Pole yake#Meridianbettz
Sabrina
Maoni:Asante kwa taarifa
Njiku
Baros alifanya maajabu sanaa
Gabriel
Kwa upande wangu namtambua Milan Baros Ni kati ya wachezaji waliozurura sana katika soka. Ndani ya miaka 19 amechezea timu tisa. Katika mechi dhidi ya AC Milan alitolewa dakika ya 85 na nafasi yake kuchukuliwa na Djibril Cisse. Hii ilikuwa mechi yake ya mwisho kwa Liverpool. Baada ya hapo aliuzwa kwenda Aston Villa. mwishowe akaenda Lyon, kisha, Galatasaray halafu akarudi kwao Czech kucheza katika timu mbalimbali. Mpaka sasa akiwa na umri wa miaka 36 anakipiga katika klabu ya Slovan Liberec ya kwao.
Hope mwaikuka
Umri umeenda kapumzike tu
Issa
Baros kazungusha kabumbu vilabu vingi na kaacha historia toka liverpool hivyo kustaafu ni muda wake
fatumakasom
Safi bora apumzike
Angelina
Apumzike tu umri unaruhusu
Furahav
Inatosha kapumzike baros.
Saupha mohamed
Muda wake umeshakwishaa
Rehema
Umri umeenda pumzika
Amiri Kayera
Ni Jambo zur kupunzk but umli ushaenda
Devotha
Kazi na umri! Ameamua vema aende akapumzike salama
Latifa juma mohamed
Sawa kazi na umri
Salma
Apumzike kwa sasa umri umeenda
farida ahmadi
Umri umeenda Sana apumzike tyuu Milan barros
Theckla
Umri umekwenda apumzike
Omary lukumbi
Umri nao tayar ushamtupa mkono n muda wake kwenda kupumzika
Evaluziga
Baro’s ashakua mtu mzima apumzike
David Pere
Huyu mchezaji kweli hatari Yani bado Alikuwa anacheza mpira duhhh
Theonestina
Mapumziko mema kwake
Tatu
Ni vizuri apumnzike ashakuwa mtu mzima
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Shafii
Ni jambo la kheri wahenga wanasema hakuna marefu yasiyokua na ncha.
mwakalosi
huyu mtu bado yupo
tumaini
Maoni:jamaa kama miguu haijaanza kumsaliti aendelee kama madaraka seleman mana alipambana sana na bado mpira bado upo
lombo
vzur