Mourinho -'Ulimwengu wa Soka Umepoteza Mtu Muhimu.'


Kocha mkuu wa Tottenham mreno, Jose Mourinho amemzungumzia Maradona vile walivyokuwa na ukaribu baada ya kifo chake kilichozua simanzi kubwa kwa tasnia ya michezo duniani.

 

Mimi siwezi kumzungumzia vizuri Di Stefano kwasababu sio umri wangu, Ila naweza kumzungumzia vizuri Maradona kwasababu nimemuona akiwa anacheza mpira nafahamu uwezo wake.

Kuna wakati nikiwa napoteza mechi kama mwalimu alikuwa ananipigia simu kunitia moyo nisikate tamaa, kwa kweli ulimwengu umempoteza mtu muhimu katika Soka Jina lake litaishi milele.” alisema Mourinho

Maradona anatarajiwa kuzikwa siku ya Alhamisi na itakuwa chini ya uangalizi mkubwa huku hakuna mtu atakaye ruhusiwa kuhudhuria zaidi ya ndugu na marafiki wa karibu kutokana na kuendelea kuzuka kwa visa vya ugonjwa wa Corona.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

15 Komentara

    Ni kweli ila anabidi atafute rafiki mwingine

    Jibu

    Maradona alikuwa rafiki wa kila mtu atakumbukwa kwa mengi

    Jibu

    Kweli kabisa

    Jibu

    Nikweli kbs

    Jibu

    Kifo cha maradona kimeumiza wengi Sana

    Jibu

    Kweli kabsaa

    Jibu

    Hakika atakumbukwa kwa mambo mengi sana

    Jibu

    Hakika atakumbuka daima

    Jibu

    Maradona ameacha pengo kubwa sana kwenye tasnia ya michezo atakumbukwa daima

    Jibu

    True say

    Jibu

    Maradona ameacha simanzi kubwa sana

    Jibu

    Jembe limeondoka

    Jibu

    Atakumbukwa kwa mengi mazuri aliyoyafanya ndani ya soka

    Jibu

    Sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.