Kocha mkuu wa Tottenham mreno, Jose Mourinho amemzungumzia Maradona vile walivyokuwa na ukaribu baada ya kifo chake kilichozua simanzi kubwa kwa tasnia ya michezo duniani.

“Mimi siwezi kumzungumzia vizuri Di Stefano kwasababu sio umri wangu, Ila naweza kumzungumzia vizuri Maradona kwasababu nimemuona akiwa anacheza mpira nafahamu uwezo wake.
“Kuna wakati nikiwa napoteza mechi kama mwalimu alikuwa ananipigia simu kunitia moyo nisikate tamaa, kwa kweli ulimwengu umempoteza mtu muhimu katika Soka Jina lake litaishi milele.” alisema Mourinho
Maradona anatarajiwa kuzikwa siku ya Alhamisi na itakuwa chini ya uangalizi mkubwa huku hakuna mtu atakaye ruhusiwa kuhudhuria zaidi ya ndugu na marafiki wa karibu kutokana na kuendelea kuzuka kwa visa vya ugonjwa wa Corona.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Adelta
Ni kweli ila anabidi atafute rafiki mwingine
Tatu
Maradona alikuwa rafiki wa kila mtu atakumbukwa kwa mengi
Fatina mfingi
Kwa kweli wamepotez m2 muhim san
Fatuma kasomo
Kweli kabisa
samiah
Nikweli kbs
Magdalena
Kifo cha maradona kimeumiza wengi Sana
Saupha mohamed
Kweli kabsaa
aisha
Hakika atakumbukwa kwa mambo mengi sana
Tahiya
Hakika atakumbuka daima
Dorophina
Maradona ameacha pengo kubwa sana kwenye tasnia ya michezo atakumbukwa daima
Hopemwaikuka
True say
Khadija
Maradona ameacha simanzi kubwa sana
Sauda
Jembe limeondoka
Sabrina
Atakumbukwa kwa mengi mazuri aliyoyafanya ndani ya soka
warda
Sana