Olimpiki Tokyo 2020, Matokeo Ya Kutisha

Mashindano ya Olimpiki Tokyo 2020 yanayofanyika kule Japan yameanza rasmi kwa upande wa wanawake ambapo matokeo mbalimbali ya kushangaza yameshuhudiwa.

Mchezo ulioteka hisia za watu wengi duniani ni ule wa soka kati ya timu ya taifa ya Marekani dhidi ya Sweden ambapo, mabingwa wa kombe la dunia 2019 walishuhudia kipigo kinene cha 3-0 kutoka kwa Sweden.

Katika hali ya kushangaza wamarekani walishuhudia kipigo hicho kilichowashangaza watu wengi duniani wakiwemo nyota wakubwa wa soka.

Katika mechi nyingine ya Tokyo 2020 timu ya Zambia ilishuhudia ikitandikwa bao 10-3 dhidi ya Uholanzi ambao walionekana kutaka magoli mengi zaidi. Katika orodha ya wafungaji kuna mholanzi aliyetupia magoli 4, na mzambia aliyetupia bao tatu!

FURAHIA KASINO MTANDAONI HUKU UKITENGEZA MKWANJA!!

Kasino ya Mayan Eagle inakukufanya kuwa bingwa wakati wowote unapoamua kuicheza. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.