Paris Ufaransa, taarifa za kukataliwa na klabu ya Man Utd na kocha wa timu ya PSG zimevuja, ni kuwa klabu ya PSG imeshindwa kumshawishi Zinedine Zidane kuweza kuchukua mikoba ya Pochettino.
Pochettino awali alikuwa anavutiwa kuhamia kwenye klabu ya Manchester United katika ya msimu endapo klabu ya PSG ingemruhusu kuondoka, lakini haionekani kama inaweza kutokea kwa sasa.

PSG imekataa kumwachia na kuondoa uwezekano kwa klabu ya Man Utd kumpata kwa sasa kocha huyo raia wa Argentina na kumuhitaji aendelee na majukumu yake mpaka mwisho wa msimu.
Kwa sasa klabu ya Manchester United wanaangaika kuweza kumpata kocha wa muda baada ya kumfungashia virago aliyekuwa kocha watimu hiyo Ole Gunnar.
Wiki nyingine ya kushinda mamilioni ukiwa na kasino maridhawa za meridianbettz. Mchezo pendwa wa Fai Cai Shen unakupa thamani ya dau lako, kwa kiasi kidogo cha dau unaweza kushinda mkwanja mrefu.


