Chama cha soka nchini Uingereza ( FA ) kimesema kwamba Golikipa wa Everton Jordan Pickford hatopata adhabu kutokana na rafu aliyocheza dhidi ya Beki wa Liverpool Virgil Van Dijk.
Katika Mchezo wa debi ya Mersyside Pickford huyo alimchezea vibaya Beki Van Dijk na kusababisha mchezaji huyo kutolewa nje ya mchezo dakika ya 11.

VAR waliangalia tena lile tukio na waliona haistahili kuwa penati kwasababu Van Dijk alikuwa ameotea , na pia VAR walihitimisha kwamba rafu ya Pickford haistahili kadi nyekundu.
FA huwa wanatoa adhabu kwenye matukio ambayo mwamuzi wa uwanjani hakuona au VAR iliyopo makao makuu Stockley Park.

Van Dijk anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa goti na taarifa za ndani zinasema mchezaji huyo anaweza kukaa nje ya mchezo kwa takribani miezi 6 mpaka 8 hivyo huenda akaukosa msimu mzima 2020/2021 wa EPL.
Ondoka na Mkwanja Kwenye Tsh. 160,000,000
Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu.


Elika
Bora kama kasamehewa.
magdalena
afadhali kaondolewa adhabu maana tulishaanza kuwaza sana
Janeflora malisa
Vzr
Hidaya
Adhabu ilikuwa sio ya kitoto
Amiri Kayera
Alichez rafu mbaya sanaa
zeiyana
adhabu zengine ziwa zanahangaliwa kwa kweli mchezaji kupa adhabu hambayo akusaiti kupewa ni kama kumuonea tu na kumshushia nizamu yake
Adelta
Wamsamehe tu
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Bora wamsamee tuuu
Shani
Kipa makin sana
Mwajumah
Bora kama kasamehewa maana alicheza rafu mbaya sana
Fatuma kasomo
Duh pole yake
Angelina
Kweli msala
Tatu
VAR imeleta usuluhisho kwenye soka
Dorophina
Pickford alicheza rafu sana kwenye mechi hiyo
latifa juma mohamed
makin sana kipa
lombo
duuh
Povel
Hali Stail adhabu lakin ukiangaliah maamuz yaliyofanywa na VAR wapenda soka hawakutegemaeh kwn ukiangaliah tukio jinsi lilivyotokea na maamuz ya VAR kutobain makosa ni vitu viwil tofaut all in all FA wajamtendea haki VVD pickford anastail Adhabu
aisha
Duuuh acha tupumue mashabiki wake tunashukuru
Issa
Waamuz wanatakiw wawe makin kwa uamuz uwanjan
Hopemwaikuka
Sorry for him
Gabriel
VAR kutobain makosa ni vitu viwil tofaut all in all FA wajamtendea haki VVD pickford anastail Adhabu
Saupha mohamed
Duuuh
Sabrina
Duuh hatari
Flomena
Duuuu hii ni mbaya sana
Salma ngende
Vizuri
warda
Afadhali jamani
farida ahmadi
Pole Sana
Sauda
Rafu aliyocheza si ya kitoto