Rafael Nadal Bingwa wa Mexican Open.

 

Rafael Nadal amefanikiwa kumfunga mchezaji namba moja wa Uingereza, Cameron Norrie katika fainali ya Mexican Open na kutwaa ubingwa wake wa nne huko Acapulco.

 

Nadal, ambaye alishinda taji hilo kwa mara ya kwanza mwaka wa 2005 na kutwaa tena mwaka wa 2013 na 2020, aliingia katika fainali ya Acapulco bila kupoteza seti, na kutwaa taji lake la tatu mfululizo la 2022.

Mhispania huyo ameshinda mechi 15 mfululizo tangu arejee kutoka kwenye jeraha la mguu ambalo lilimweka nje kwa takriban miezi sita mwaka jana.

“Siku zote imekuwa sehemu maalum sana,” Nadal alisema kuhusu jiji la Acapulco. “Nguvu ambayo watu kutoka Mexico wananiletea ni ya kipekee sana.”


KASINO YA MTANDAONI: EMOTICOINS SABABU YA KUVUNA ZAIDI.

Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.

senegal, Senegal Mabingwa AFCON 2021., Meridianbet

CHEZA HAPA.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.