Ralf Rangnick Kuanza Kazi vs Crystal Palace.

Baada ya kutangazwa rasmi kama kocha wa muda wa Manchester United, sasa ni rasmi, Ralf Rangnick ataanza kazi ya kuiongoza United vs Crystal Palace.

Rangnick ametua United kwa mkataba wa kuiongoza timu hiyo kwa miezi 6 kama kocha wa mpito kisha, ataendelea kufanya kazi na United kama mshauri kwa miaka miwili.

Kutangazwa kwa Ralf Rangnick ilikuwa ni hatua ya kwanza, kuanza kazi rasmi ni hatua ya pili. Kufuatia taratibu za kufanya kazi nchini Uingereza, Rangnick alikuwa akisubiri kibali cha kumuwezesha kuanza kazi yake pale Old Trafford.

Mvumilivu hula mbivu, Rangnick amepatiwa kibali cha kufanya kazi na sasa ni rasmi, mchezo wake wa kwanza utakuwa dhidi ya Crystal Palace jumapili hii ndani ya Old Trafford.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.