Rashford, Saka Waondolewa Timu ya Taifa.


Shirikisho la michezo ncini England, FA limethibitisha kuwakosa wachezaji wawili, Marcus Rashford wa Manchester United na Bukayo Saka wa Arsenal.

Shirikisho hilo limesema wachezaji hao watakosa michezo miwili iliyosalia ya kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia dhidi ya Albania na Poland kutokana na Majeraha.

Rashford na Saka wote walikuwa benchi katika mchezo wa kwanza dhidi ya San Marino siku ya Alhamisi ambayo waliibuka kwa ushindi wa 5-0.

 

“Marcus Rashford na Bukayo Saka hawata kuwa katika kikosi cha England katika mechi zijazo za kufuzu kombe la dunia 2022,” ilisomeka taarifa hiyo ya FA.

“Rashford alithibitika kuwa na majeraha katika uwanja wa St.Georger’s Park ambayo yalimfanya kukosa mchezo dhidi ya San Marino, na tumekubaliana aendelee na matibabu katika klabu yake ya Manchester United.

“Saka amebaki na Arsenal kwaajili ya uchunguzi zaidi kwaajili ya mambo yake yanayoendelea, lakini kwasasa hatakuwepo katika kikosi cha simba watatu kitakacho kabiliana na Albania na Poland.”


Maana Kamili ya Ushindi Katika Kasino za Meridianbeti ni Pamoja na Mchezo wa Tropical Wild.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Tropical Wild na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

6 Komentara

    Jamani mbona rash jembe sana

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Sorry

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.