Cristiano Ronaldo, amelilinganisha soka katika viwanja vitupu visivyokuwa na mashabiki kama kwenda kwenye sarakasi bila na kuwa na vazi rasmi la kuchekesha.
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Ureno, alifunga bao lake la 100 na 101 kwa nchi yake katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Sweden Jumanne (08.09.2020) katika ligi ya soka ya mataifa.
“Ni kama kwenda kwenye sarakasi bila mchekeshaji aliyevalia vazi la kuchekesha katika, kwenda kwenye bustani bila maua,” alisema Ronaldo na kuongeza, “Hatupendi kama wachezaji, lakini tayari nimezoea. Ninatafakari kabla ya mechi tayari nikijua kuwa uwanja utakuwa mtupu.”
Ronaldo alisema kuwa amekosa hata mashabiki wapinzani. “Inasikitisha,” alisema mshambuliaji huyo wa klabu ya Juventus ya Italia.
“Ninapenda wakati ninapodhihakiwa katika mechi za ugenini, inanipa motisha. Lakini suala la afya linatakiwa kupewa kipaumbele na tunahitaji kuheshimu hilo. Lakini inasikitisha.”
Aidha Ronaldo alisema ana matumaini kuwa “ndani ya miezi michache”mashabiki wanaweza kurudi viwanjani kwa sababu wao ndio “furaha” ya mchezo wa soka.
Kwa magoli yake dhidi ya Sweden, Ronaldo amekuwa mchezaji wa pili tu wa kiume kufikia magoli 100 katika mpira wa miguu wa duniani katika ngazi ya timu za taifa. Anamfuatia tu mshambuliaji wa zamani wa Iran, Ali Daei, ambaye aliifungia timu yake ya taifa mabao 109.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
felister
ni kweli alichosema Ronaldo mashabiki wanaleta motisha uwanjani
Mwanahamisi
Gud news
Povel
Kucheza bila mashabik ni sawa kucheza mziki bila disko bila mchumba suala la viwanjan kutokuwah na mashabik unapunguzah Sana Radha ya soka na ubunifu wa Hali ya juu yan soka linakosa mvuto kabisa kwn shabik ni mchezaj wa 12 kwny sheria 17 za mchezo wa soka
Adelta
Kucheza bila mashabiki mpira haunogi@meridianbettz
rama
kwel kabisa but itabidi wazoee tu kulina na ugonjwa wa corona
Hope mwaikuka
Bila mashabik ainog
Dorophina
Mpira hauna radha kabisa bila mashabiki wafanye mashabiki wawepo
Flomena
Mpira Ni mashabiki
Tatu
Mpira bila ya mashabiki aunogi
Sauda
Mashabiki ndo mpango mzima
Furahav
Yuko sahii.
Nasra
Mashabiki wanaleta hamasa ya mpira
Mwajumah
Mpira bila mashabiki wapi na wapi wafanye mashabiki wawepo tu#Meridianbettz
Caroline
Ila kweli mpira bila mashabiki ata haunogi
Fatina
Utapooza
Lydia Emmanuel Magoti
Nikweli mashabiki uleta amsha amsha za kisoka na pia uchanga msha Sana
Hidaya
Soka bila mashabiki halinogi
Khadija
Mechi bila mashabiki haipendez#meridianbettz
marry
soon mambo yatakuwa sawa izo ni changamoto tu na ni janga la dunia nzima
Theonestina
Sawa tutafanyaje sasa.haina jinsi
Sadick
Kocha wa Timu ya Taifa ya Spain alielezea ni sawa kucheza disco na dada yako! Mpira haunogi bila mashabiki na mashamushamu yao#meridianbettz
lombo
yuko sahh
farida ahmadi
Cristian Ronaldo Yuko sahihi kabisah
Saupha mohamed
Bira mashabiki jau
Salma ngende
Kwa kweli inaboa
Fatuma kasomo
Mpira ni mashabiki
Genia Sikaluzwe
Yuko sahihi
Ester jackson
Bila shaka uko sahihi kabisa
Ernest
Ni changamoto kubwa sana kwa wachezaji lakini ni njia mojawapo ya kupunguza mlipuko wa maambukizi ya Corona.
Sabrina
Nikweli kabisa utamu wasoka mashabiki
aisha
Yuko sahihi Ronaldo kutokana na hali sasa ivi imebadilika
Amiri Kayera
Kwer laha ya mpila mashabik bn
Latifa juma mohamed
Hizo ni changamoto kubwa kwa mashabiki na wachezaji hiyo yote ni kupunguza nguvu Kasi ya maambikuz ya covid19 lkn kwa upande mwngn Raha ya ngoma iwe na wachezaji.
Samiah
Mpira nimashabiki
kabogoro
kiukwel mech bila kelele za mashabiki hainogi
Neema
Kiukweli bila mashabikii hautanogaa
Shafii
Yuko sahihi kwa sababu mshabiki ni mchezaji wa kumi na mbili uwanjani.
Gabriel
viwanjan kutokuwah na mashabik unapunguzah Sana Radha ya soka na ubunifu wa Hali ya juu yan soka linakosa mvuto kabisa kwn shabik ni mchezaj wa 12 kwny sheria 17 za mchezo wa soka
Janeflora malisa
Vzr
David Pere
Ni changamoto kubwa sana kwa wachezaji lakini ni njia mojawapo ya kupunguza mlipuko wa maambukizi ya Corona.
Rose kapinga
Mpira bila mashabiki hauna mvuto kabisa,sababu zile shangwe usiniumizie ,ukitoka nione zinawapa mizuka ya kusakata kandanda vilivyo,lakini sababu ya ugonjwa hatar wa corona haina jinsi maana kinga ni bora kuliko tiba!!!!
Johnmary joel
Ni kweli kabisaa yupo sahihi mashabiki ni wa muhimu sana kuwepo uwajani#meridianbett
warda
Afya ni Muhimu sana Ila Na Mashabiki ni muhimu pia
Issa
Soka bila mashabiki ni kama uhondo kukosekana sana
Theckla
Ronaldo yuko sahihi
Devotha
Kweli radha ya mpira inaungua mashabiki wasipokuwepo uwanjani kwani zile kelele humuongezea molari mchezaji
Shani
Mashabik katika soka ni wanaleta hamasa
Sana na upinzan viwanjani
Magdalena
Gemu bila mashabiki hainogi ata kidogo