Alessandro Florenzi Kuungana na PSG

Beki wa pembeni wa klabu ya Roma, Alessandro Florenzi anatajwa kuwa mbioni kujiunga na klabu ya Paris Saint-Germain kwa mkopo huku kukiwa na chaguo la kumnunua.

Kwa mujibu wa La Gazzetta dello Sport, na vyanzo vingine vya habari za michezo nchini Italia wakiwemo Sky Sport Italia, Tuttomercatoweb na Sportitali, wote wamelipa uzito suala hili.

Kwa mujibu wa taarifa, kumekuwa na maendeleo ya haraka kutoka katika mazungumzo ya awali kuelekea kukamilika kwa mpango huu wa uhamisho. kutoka Ufaransa, taarifa zinasema kuwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia anatarajiwa kuwepo Paris mwishoni mwa wiki kwa ajili ya vipimo vya afya.

Alessandro Florenzi PSG
Alessandro Florenzi

Florenzi alienda Valencia mnamo Januari kwa mkopo, lakini hakuweza kupata mda wa kutosha wa kucheza kwa sababu ya kusimama kwa michezo, pamoja na majeraha.

Kocha wa Roma Paulo Fonseca hivi karibuni alibadilisha mfumo wake kuwa safu ya wachezaji watatu nyuma, ambayo ingemuweka Florenzi upande wa kulia wa kiungo, lakini inaonekana bado haoni mchezaji huyo wa miaka 29 anaweza kuendelea kuwepo katika mipango yake.

Alessandro Florenzi atakuwa Mtaliano wa pili PSG, baada ya Marco Verratti, wakati mshambuliaji wa zamani wa Inter Mauro Icardi pia akiwepo hapo.

Mlinda lango wa Juventus Gianluigi Buffon na mzuia mashuti wa Torino Salvatore Sirigu ni Waitaliano wengine ambao walipitia klabu hii ya Paris.


 

SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

45 Komentara

    Habar njema kwake florenzi Kama deal la kujiunga na Matajir wa ufaransa likatakuwa done

    Jibu

    Ni vizuri sana@meridianbettz

    Jibu

    Ili Ni bonge la dili kwa florenzi likikamilika itakuwa poa

    Jibu

    So nice

    Jibu

    Nmeilewa hii

    Jibu

    So Amazing

    Jibu

    Florenzi amepata bonge LA dili

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Allesandro karibu PSG

    Jibu

    Likikamilika litakua bonge la dili kwa florenzi#Meridianbettz

    Jibu

    Habari nzuri sana kwa Florenz endapo dili litatiki..

    Jibu

    Jambo jema.

    Jibu

    Nice#meridianbettz

    Jibu

    Psg wamwage mpunga mezani

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    bonge moja la dili kwa florenz

    Jibu

    Habari nzuri kwa Florenz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Ni Jambo jema

    Jibu

    Litakuwa pambe sana likikamilika

    Jibu

    Deal zuri kwa Florenzi

    Jibu

    Itakua powa sana kama dili hili likikaa sawa

    Jibu

    Kila la kher

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Dili zuri hilo

    Jibu

    deal la kujiunga na Matajir wa ufaransa imekaa poa sana 👍

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Good

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Alessandro Florenzi atakuwa Mtaliano wa pili PSG, baada ya Marco Verratti, wakati mshambuliaji wa zamani wa Inter Mauro Icardi pia akiwepo hapo.

    Jibu

    Hongera kazi kazini!!!

    Jibu

    Karibu chama la wana

    Jibu

    Acha Akaongeze nguvu PSG#Meridianbettz

    Jibu

    Usajili.muhimu sana

    Jibu

    Safi sana ni beki anayejua majukum yake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Good deal

    Jibu

    Kapige kazi mwamba PSG timu kubwA

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.