Sadio Mane(30) Atwaa Tuzo ya Socrates

Mchezaji wa zamani wa Liverpool na sasa Bayern Munich Sadio Mane ametwaa tuzo ya Socrates kwenye tuzo za Ballon D’OR zilizokuwa zinatolewa hapo usiku wa jana nchini Ufaransa.

 

Sadio Mane(30) Atwaa Tuzo ya Socrates

Sadio Mane ambaye ni raia wa Senegal ametwaa tuzo hiyo ambayo hutolewa kwa mchezaji ambaye amejitoa sana kwenye jamii yake, ambapo mchezaji huyo amekluwa akiisaidia jamii katika mambo mbalimbali kama vile kujenga hospitali na kutoa misaada mashuleni.

Mchezaji huyo amekuwa ni mtu ambaye hujali sana watu wa nchi yake, huku akipendelea maisha ya kawaida, huku akiangali alipotokea na kurejesha kati ya kile  anachokipata kwenye jamii si jambo la kushangaza kwake.

Sadio Mane(30) Atwaa Tuzo ya Socrates

Mane kwenye wachezaji watano bora Tuzo za Ballon D’OR ameshikilia nafasi ya pili huku nafasi ya kwanza ikichukuliwa na Karim Benzema, Nafasi ya tatu imeenda kwa Kevin De Bruyne, nambari nne ni Roberto Lewandowski na Tano bora ni Mohamed Salah.

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.