Sandro Tonali Kurejea dimbani mwezi huu
Makala iliyopita
Pulisic Anafanya Mazoezi Peke Yake Huko Milan
Makala ijayo
Fofana Huyoo Milan
Mwanzoni mwa msimu uliomalizika ilibainika kiungo huyo wa kimataifa wa Italia alikua anajihusisha na michezo ya kubashiri alipokua kwenye ligi kuu ya Italia, Ambapo alikua anaibashiria iliyokua timu yake Ac Milan baada ya kubainika na kufungiwa kutojihusisha na mpira wa miguu hatimae atarejea uwanjani mwishoni mwa mwezi huu.