Novak Djokovic Kutetea Ubingwa Australian Open

Baada ya kuwepo sintofahamu kuhusu ushiriki wa bingwa mtetezi wa Australian Open, Novak Djokovic, sasa ni rasmi, ubingwa utatetewa kwa uwanjani.

Mashindano ya Australian Open yataanza Januari 17 jijini Melbourne, Australia. Kutokana na uwepo wa maambukizi ya virusi vya COVID-19, mamlaka za mji huo pamoja wa waandaji wa mashindano, walisema wazi, washiriki wote wanapaswa kuwa wamechanja au wawe na vielelezo vilivyothibitishwa na wataalamu kuwa wasichanje.

Mpaka sasa, Novak Djokovic hajaweka wazi nafasi yake katika mchakato wa kupata chanjo. Haijulikana kama amachanja au hajachanja. Lakini, imeripotiwa kuwa, Djokovic amepatiwa vielelezo vya kitabibu vitakavyo mruhusu kutetea taji lake la Australian Open.

Hii inamaana kuwa, Djokovic atashiriki mashindano hayo nchini Australia mwaka huu, 2022.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.