Tetesi zinasema Kocha wa Chelsea Frank Lampard anahitaji klabu hiyo kujaribu kufanya usajili wa kiungo mkabaji wa West Ham United Declan Rice 21 ingawa hakuna dau lililotumwa.
Usajili wa kiungo huyo kutokea kwa wagonga nyundo wa London kutamfanya Jorginho wa Chelsea na Italia kutua ndani ya Arsenal.
Tetesi zinasema Paris St-Germain wanavutiwa kumsajili mlinzi wa kati wa Chelsea na Ujerumani Antonio Rudiger, 27, ambapo Chelsea wako tayari kumtoa kwa mkopo na sio kumuuza.

Tetesi zinasema Tottenham wako kwenye mazungumzo na kitasa wa Slovakia ambaye anakipiga kunako klabu ya Inter Milan Milan Skriniar, 25.
Inter wanaweza pia kumsajili beki wa kati wa England na Manchester United Chris Smalling 30 kama watashindwa kufikia dau la Mslovakia.
Tetesi zinasema Sevilla wanatarajia ofa nyingine kubwa kutoka kwa Manchester City inayomhitaji beki wao Jules Kounde, 21.
Arsenal wametuma ofa ya pauni milioni 32 ya kumhitaji kiungo wa Lyon Houssem Aouar 22 ingawa klabu hiyo inahitaji kiasi cha pauni milioni 54.

Tetesi zinasema Aouar amekubali kutua The Gunners baada ya klabu aliyokuwa akiihitaji ya Manchester City kutotuma ofa yoyote mpaka sasa.
Nyota wa Liverpool na England aliye chini ya miaka 20 Rhian Brewster, anavutiwa kutua Sheffield United licha ya klabu ya Aston Villa kuhitaji huduma ya kinda huyo.
Leeds United wanakaribia kumsajili kiungo wa Kiholanzi mwenye miaka 22, Teun Koopmeiners kutokea AZ Alkmaar.
Meneja wa Chelsea Frank Lampard anapanga kufanya mazungumzo na kioa wa Hispania Kepa Arrizabalaga, 25, juu ya hatima yake hasa baada ya kusajiliwa kwa Mendy 28 kutokea Senegal na Rennes.

Kocha wa Newcastle United Steve Bruce amesema hafikiria kumuuza mshambuliaji wake raia wa Brazil Joelinton, 24, majira haya.
Tetesi zinasema Watford wanafikiria kumsajili beki wa kati wa Sheffield United Dominic Iorfa, ambaye amewahi kukitumikia kikosi cha England chini ya miaka 21.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Ernest
Kwa hali ilivyosasa Chelsea wanaweza tupa karata yao ya mwisho ili kuimarisha kikosi chao zaidi
Fatina
Litakuwa Ni Jambo zur kma wanampat ili kuimalisha kikosi
Sauda
Uchambuz umekwenda shule!!!!!
Lydia Emmanuel Magoti
Habari hipo vizuri
Venerose
Makala inaeleweka
Caroline
Chelsea wakijitaidi watafika mbali
Latifa juma mohamed
Makala imetulia.
Zeiyana
Chelsea wana tapa tapa tu hawana humakini na usajili wao
Tatu
Mm naona usajili umepamba moto kwa vilabu vyote
felister
naona lampard hataki mzaa kabisa msimu huu
Elika
Kwa sasa Chelsea hawana jipya
Mwajumah
Habari ipo vizuri na imeeleweka
Nasra
Habari njema
aisha
Chelsea mnakwama wapi mbona kikosi hakijakamilika
Rose kapinga
Itakua vizuri kikosi kitaimalika zaidi
Adelta
Chelsea wafanye mpango wa kuimarisha vikosi vyao
Angelina
Goodupdate
Aziza mushi
Habari njema.
Samiah
Nihabari njema
Hidaya
Makala ya kueleweka
Gabriel
Imekaa poa sana
Hopemwaikuka
Zko gud
Issa
Psg wafanye wamsajili huyu rudiger sbabu ni mchezaj ambae atwasaidia kwa kias kikubwa
Theonestina
Habari njema
Sabrina
Nice
Amiri Kayera
Taarifa moto za usajir
Mariam mtandama
Habari njema
Saupha mohamed
Habari njema
Fatuma kasomo
Itakua vizuri
Theckla
Habari njema
Khadija
Habari njema
Janeflora malisa
Good
magdalena
mambo ya usajili yanazidi kupamba moto uingereza
Povel
Nice information
Dorophina
Chelsea usajili wao hata haueleweki kabisa
Salma ngende
Safi
Neema
Nimewaelewaa vyema
Shani
Tetesi za uhakika
David Pere
Kwa hali ilivyosasa Chelsea wanaweza tupa karata yao ya mwisho ili kuimarisha kikosi chao zaidi