Unai Emery amekosoa mtazamo na uwajibikaji wa Ozil wakati wake kama Kocha wa Arsenal na amesema kikosi chote hakuna aliyetaka Mjerumani huyo awe nahodha.
Enery ambae alitimuliwa November, klabu imekuwa katika kipindi kibaya kama 1992 kabla ya nafasi yake kuchukuliwa na Freddie Ljungberg kabla ya Mikel Arteta kuchukua mikoba jumla.
Ozil alikuwa haaminiki kuanza mara kwa mara kipindi cha Unai na kufanya kucheza mechi kumi msimu mzima, lakini Kocha huyo wa zamani ametajihidi kwa uwezo wake kumsaidia.

Emery amesema “Lazima uwe mdadisi sana kujua mtazamo wake na kujitoa kwake.
“Nimejitahidi sana kumsaidia Ozil. Kipindi chote cha maisha yangu ya soka, wachezajiw enye vipaji wamefikia viwango vikubwa wakiwa kwangu. Mara zote nimekuwa chanya kwake nikitaka acheze na kuhusika.
“Wakati kabla ya msimu, nilimwambia nataka awe Ozil bora. Nilitaka ahusike kwa kiwango kikubwa na awajibike kwenye vyumba vya kubadilishia nguo. Nilimuheshimu na kufikiri itamsaidia.

“Angekuwa nahodha lakini chumba cha kubadilishia ngio kilimkataa. Hicho sio nilichoamua mimi, ni wachezaji wenzake waliamua. Manahodha ni wachezaji wanaotakiwa kulinda klabu, kocha na wachezaji wenzake.”


Kenani
Itamletea shida hii
Elika
Ni kuwa nae bega kwa bega huenda ataelewa tuu.atakuwa ozil bora vile inavyotakiwa
Neema juma
Hii habari mpya asanteni kutujuza #meridianbet
Ester jackson
Hiyo itakuwa hatari waache ubaguzi
Rehema Dickson
Anazingua nini tena
Samiah
Siyovzr kufanya ubaguzi
Antony Luseno
Ozil ndo alivyo siku zote ilitakiwa amzoee
Salma
Waache ubaguzi
Povel
Thanks meridian kwa update
aisha
kwani amezingua nini tena
aisha
amezingua nini tena
Theckla
Sio sifa nzuri kwa Ozil
Adelta
Asante meridianbet kwa taarifa
felister
anatakiwa amzoee ndivyo alivyo
Mwajuma
Safi kwa habari nzuri za michezo.sio kitu kizuri kwa mchezaji mkubwa kama ozil#
geniaskaluzwe8
Siyo vizur huo ni ubaguzi
winfrida
ozil tabia yako itafanya watu wasikukubali
Mariam mtandama
Asante meridianbet kwa taarifa
SADICK
Unai anakumbuka shuka kumekucha, alichosema hakina maana kwa sasa#meridianbettz
Furahav
Huo ubaguzi ss.
David pere
Alishindwa kumtumia ipasavyo ndio maana kamuna anazingua
khadija
Amezingua nn?tena#meridian
Agness
Ubaguzi sio mzuri
Rehema
Safi sn habari mzr meridianbet
Tahiya
Duuh iyo ni noma sana
Lydia Emmanuel Magoti
Ozil mbona yupo vizuri
Lombo
gud nemz
Genia Sikaluzwe
Ozil should go ,he has no longer needed
Frank Patrick
Ni too late but iko na faida kwa team
Emmy cleopa
Ahsante meridian kwa taarifa
Zeiyana iddi
Ozil yupo vizuri sana
Ernest
Ni wakati sana kwa Ozil kwenda kumalizia soka sehemu nyingine.
Christopher
Ozil hana tena impact kwenye timu ya arsenal,anapewa mshahara wa bure , auzwe tu
Gabriel
Ozil yuko vzur bhana
Hamidu
Asante kwa taarifa nzuri za michezo# meridianbettz
Amani
Unai anakumbuka shuka kumekucha, alichosema hakina maana#meridianbettz
Magdalena
Duh ,#meridianbet
Ester mmakasa
Ozi yuko kakta wakati mgumu sana ,asikate tamaa .
Juliana
Ozil yuko vizuri