Uwanja Mkubwa wa soka Duniani kujengwa China.

Mabingwa wa China Guangzhou Evergrande siku ya Alhamisi ya April 14 wameanza kujenga uwanja mpya utakao gharimu dola bilioni 1.7 (Tsh. Trilioni 3.9) na utakuwa na uwezo wa kubeba mashabiki 100,000.

Uwanja huo utakuwa moja ya uwanja wa soka mkubwa zaidi duniani, na umetarajiwa kukamilika ifikapo 2022.

Muonekano wake kwa ndani.

Wazo nyuma ya muonekano, ni shepu ya ua la lotus, ambalo linapatikana Guangzhou ndio maana linajulikana kama ‘jiji la maua’.

Raisi Xia Haijun, wa Evergrande, wamewaambia waandishi kwenye sherehe ya ufunguzi wa ujenzi wa uwanja mpya “Uwanja wa Evergrande utakuwa moja ya uwanja bora Duniani ukifananishwa na Sydney Opera House na Burj Khalifa wa Dubai, na utakuwa alama muhimu kwa mpira wa miguu China kwa Dunia.”

2 Komentara

    Duh

    Jibu

    Safi sana china

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.