Vardy Anafikiria Kuhusu Pendekezo la Cremonese.

Jamie Vardy sasa ana hamasa zaidi kuhusu wazo la kujiunga na Cremonese katika Serie A kama mchezaji huru, ripoti ya Sky Sport Italia.

Vardy Anafikiria Kuhusu Pendekezo la Cremonese.

Strika huyo mzoefu sasa hana mkataba baada ya mkataba wake na Leicester City kuisha. Ilikuwa ni mshangao mkubwa pale ripoti ilipoibuka mapema wiki hii kwamba Vardy alikutana na Cremonese, klabu mpya iliyopandishwa daraja.

Sky Sport Italia sasa inasisitiza kuwa mazungumzo yamekuwa makali kwa siku chache, na kufikia hatua muhimu. Leo hii unaweza kutusua mkwanja mrefu endapo utacheza michezo ya Kasino ya Mtandaoni kama vile Aviator, Poker, Roullette, Keno, Super Heli na mingine kibao. Ingia Meridianbet sasa na ucheze hapa.

Mchezaji huyo wa miaka 38 yuko wazi sana kwa wazo la kuja Italia kumalizia kazi yake ya soka, ambayo ilipea alipoibuka mabingwa wa Premier League akiwa chini ya kocha Claudio Ranieri.

Vardy Anafikiria Kuhusu Pendekezo la Cremonese.

Itakuwa ni mabadiliko makubwa kwake, baada ya kuwa Leicester City tangu mwaka 2012. Vardy amefunga mabao 145 katika mechi 342 za Premier League, pamoja na kutoa assists 50.

Cremonese walianza msimu wao wa Serie A kwa ushindi wa 2-1 ugenini dhidi ya AC Milan ya Luka Modric katika uwanja wa San Siro mwishoni mwa wiki iliyopita.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.