Raisi wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe Magufuli amesema anasubiri ushauri wa wataalamu wa afya ikiwezekana Vodacom Premier League iendelee.
Katika hafla ya kumuampisha waa Waziri mpya wa Katiba na Sheria Dr Mwigulu Lameck Nchemba, Raisi aligusia uwezekano wa kuendelea na Ligi kwani hakuna mwanamichezo aliyeugua au kukutwa na Corona, yeye anaona ni bora Ligi iendelee kwani wachezaji watakuwa na utimamu wa mwili kuliko kukaa nyumbani.
Hii imekuja kuzima tetesi za kumalizika kwa Ligi kwani hivi karibuni kumekuwa na tetesi wadau mbalimbali wakitaka Ligi imalizwe na Simba apewe ubingwa lakini bado TFF na bodi ya Ligi haijasema chochote.
Magufuli amesema “Nafikiria hata kuruhusu ligi iendelee kwani sijasikia mchezaji yoyote kakutwa na maambukizi, kwasababu wanafanya mazoezi. Sasa wakikaa nyumbani ndio wanaweza kupata maambuki, nasubiri ushauri wa wataalamu wangu. Tutaweka utaratibu mzuri kama Ligi itaendelea.”
Kwasasa kwenye msimamo Simba ndio inaongoza kwa alama ikifuatiwa na Azam kisha Young Africa (Yanga).
Zainabu
Itakua poa sana ligi ikianza
Winfrida
Iyo imekaa poa sana
Mwanahamisi
Iko poa
Elika
V.p.l tunaisubiri kwa hamu
Gabriel
Bora ligi iendelee maana tuna timu ilishaanza kujitangazia ubingwa mapema bila hata aibu
Mariam mtandama
Iko sawa
Elika
Bora ligi iendelee.timu zirudi uwanjani
Samira
Itakua poa sana
Hopemwaikux
Fresh tu tupewe chetu
Theckla
Tuombe mungu majibu ya wataalamu yawe mazuri ili tuendelee kupata burudani tukiwa majumbani
Rehema dickson
Iyo Safi sana
Tahiya
Iko Poaw sana
felister
itakua vizuri ligi zikiendelea lkn je kuhusu upande wa mashabiki itakuaje apo…?
Sylvester
Acha uhondo urudi
Mwajuma
Da mungu ajalie irudishwe
Rehema
Iko vizuri sn
Kenani
Tumemisi kupuliza mavuvuzela jamaniπ
Ananiambtz
Baba jesca atuache kwanza mpk corona iishe maana raha ya mchezo mashabiki
Ester mmakasa
Ni nzuri sana hii,kwasababu wacheza wote wanajuwa jinsi ya kujikinga .
Mwanaidi
Safi Sanaaaa tuendelee kuburudika
Furahav
Itakuwa poa.
Fatina
Bora ianze Mpira uwendelee 2 maana tumemic mpira
Mariam mtandama
Itakuwa sawa
Warda
Apa nasubilia chama langu tu lichukue kombe
Mariam mtandama
Iko sawa
John mwakalosi
Watu wa msimbazi hatutaki ushindi wa mezani kama kandambili sisi
Schola
Iko pouwa kwa kweli
Waziri
Bora simba ipewe ubingwa
mathayo sonje
safi sana kama kiongozi unatakiwa kua na moyo wa ujasiri na kuwatia moyo wafuasi wako.
asnte kwa kutaka kuirejesha tena ligi yetu ya VPL
Waziri
Wafanye warudi ili tumalize ubishi
Njiku
Safii rais wa jamuhuri wa muungano penda sana maamuzi yke
frank
Waruditu ili tue mfano kwa mataifa mengine kupinga iligonjwa la corona kwenye michezo ……
Hidaya Mohammed
Warudi tu mpirani msimbazi tuchukue ubingwa wetu