Yanga SC Yatua Mtwara Kuwavaa Namungo FC.

 

Klabu ya Yanga SC imewasili mkoani Lindi kwa ajili ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Namungo FC ambao utapigwa Jumamosi, Novemba 20 katika uwanja wa Ilulu.

Yanga SC wamepata maandalizi ya kutosha kuelekea mchezo huo ambapo wiki iliyopita walikuwa visiwani Zanzibar ambako walialikwa kwenye maadhimisho ya Mwaka mmoja Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar chini ya Rais Dk Hussein Ali Mwinyi.

Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi alieleza kufurahishwa na kambi ya siku tano waliyoweka Zanzibar ambapo waliweza kucheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Mlandege na KMKM wakiibuka na ushindi wa 1-0 na 2-1.

Nabi amepania kuvunja rekodi ya Yanga SC dhidi ya Namungo kwani michezo minne iliyopita baina ya timu hizo haikutoa mshindi.

Namungo ni moja ya timu zilizofanya usajili mzuri ikiwa na baadhi ya wachezaji ambao wamewahi kutamba Yanga kama Obrey Chirwa, David Molinga, Abdulaziz Makame na Mohammed Issa ‘Banka’.


WIKI NJEMA NA CRAZY TIME CASINO!

Unasababu milioni za kucheza unavyotaka ukiwa na mabingwa meridianbet, lakini unasababu moja ya kushinda mamilioni katika kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo maridhawa wa Crazy Time unakupa sababu hizo kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.