Chelsea Mazungumzoni Usajili wa Sterling.

 

Klabu ya Chelsea ina imani kuwa itaweza kumsajili mshambuliaji wa Manchester City, Raheem Sterling, kama ada ya uhamisho itaafikiwa baina yao na mabingwa hao wa EPL.

Inadaiwa Kocha Thomas Tuchel anavutiwa na uchezaji wa Sterling, huku akiamini Mchezaji huyo anafaa zaidi katika mfumo wa uchezaji wa klabu kuliko Romelu Lukaku.

 

Hata hivyo, Manchester City inaamini Mchezaji huyo ana thamani ya Paundi Milioni 60 huku Blues ikiamini thamani yake inakaribia Paundi Milioni 35.

Chelsea walipekeka dau la ufunguzi la pauni milioni 25 pamoja na nyongeza ambalo lilikataliwa mwishoni mwa wiki. Blues wanatarajiwa kurejea kwa dau lililoboreshwa.


ALIYA’S WISHES

Bila shaka unatamani ushindi mkubwa, vipi kuhusu kujaribu Sloti hii ya Aliya’s Wishes? jaribu ushinde sasa.Kasino ya Mtandaoni

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.