Newcastle United Yamnasa Joao Pedro.

Tmu ya Newcastle United chini ya mwalimu Eddie Howe inaendelea kuisuka timu yao kadri siku zinavyoenda.

Baada ya kupata sare dhidi ya Manchester City jumapili iliopita na kuwapa mechi mgumu sana Mabingwa hao wa ligi kuu Uingereza wamefanikiwa kumnasa mshambuliaji raia wa Brazil aliekua anaitumikia Watford Joao Pedro.

Newcastle ambao wamenunuliwa na tajiri kutoka falme za kiarabu wamekua wakifanya sajili zinazolenga kuiinua klabu hiyo kwenda kua klabu shindani kwenye ligi kuu ya Uingereza siku za mbeleni.

Na mwalimu aliopewa kazi ya kuitengeneza hiyo Eddie Howe anaonekana kuifanya kazi hiyo toka alipopewa timu hiyo mwishoni mwa msimu uliomalizika. Lengo la tajiri wa klabu hiyo ni kuifanya klabu hiyo kua miongoni mwa timu tishio ndani uingreza kwasababu suala la pesa kwa upande wake sio tatizo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.