Eriksen Aweka Rekodi Man Utd

Kiungo mshambuliaji Raia wa Denmark ambaye anakipiga katika klabu ya Manchester United Christian Eriksen, ameonesha takwimu nzuri na kuvutia zaidi kutokana na uwezo wake wa kukimbia umbali mrefu kwa muda mchache.

Eriksen Aweka Rekodi Man Utd

Kwa mujibu wa mtandao wa UtdArena imetoa takwimu za Eriksen kwenye mechi ya Leicester City dhidi ya Manchester United kuwa, mchezaji huyo ameweka rekodi ya kukimbia umbali wa 10.69km kwa dakika 90 na hii inamfanya kuwa mchezaji pekee kwenye klabu hiyo kufanya hivyo kwa msimu huu 2022/2023.

Eriksen Aweka Rekodi Man Utd

Matokeo ya ushindi kwenye mchezo wa jana unaifanya Utd kusogea mpaka nafasi ya 5 kwenye msimamo wa Ligi kwa alama 9, na mechi inayofuatia ni dhidi ya Arsenal siku ya Jumapili waliopo nafasi ya kwanza kwenye Ligi kwa jumla ya alama 15.

Eriksen Aweka Rekodi Man Utd

Mara ya mwisho kukutana timu hizo, Manchester United walipoteza kwa bao 3-1.

Eriksen Aweka Rekodi Man Utd

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.