Deal Done, Feisal ni Azam FC

feisal

KLABU ya Azam imeingia mkataba wa miaka mitatu na kiungo Feisal Salum (Fei Toto) akitokea Yanga. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi mbalimbali.

Azam FC wamemtambulisha Feisal mchana wa leo kuwa ni mali yao na wakishindwa kuweka wazi kuwa wametumia kiasi gani. Beti na Meridianbet kwa odds kubwa na machaguo kibao, pia unaweza kubashiri mubashara.

Mtendaji Mkuu wa Azam FC Abdulkarim Amin Popati alisema, walifikia makubaliano mazuri kwa pande zote mbili kwenye kufikia dili hilo. Ukiwa na meridianbet unapata odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti.

Feisal mwenyewe alisema: “Nina furaha kuwepo hapa, ninawaahidi kufanya makubwa mashabiki wote wa Azam Fc.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.