MASTAA WA SIMBA WALIOBAKI BONGO HAWA HAPA

Kikosi cha Klabu ya Simba kimekwea Alfajiri ya leo kueleka Botswana kwa ajili ya mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika ambao utakuwa ni wa pili kwao na itapigwa kesho Jumamosi saa 10 jioni.

 

MASTAA WA SIMBA WALIOBAKI BONGO HAWA HAPA
Mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 ubao ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas hivyo waligawana pointi mojamoja na langoni alikaa Ayoub Lakred ambaye yupo kwenye msafara.

Ukiachana na Mnyama huyo, meridianbet wanasema hivi cheza michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile Aviator, poker, Roullette na mingine kibao ambayo inaweza kukupatia mkwanja wa maana. Cheza hapa.

Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi chini ya Kocha Mkuu Abdelhak Benchika kina kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili.

MASTAA WA SIMBA WALIOBAKI BONGO HAWA HAPA

Mechi hiyo inatarajiwa kuchezwa Desemba 02, 2023 Botswana katika dakika 90 ambapo itakuwa ni kazi kwa wanaume 22 kusaka pointi tatu.

Simba imeondoka na wachezaji 20, benchi la ufundi katika msafara wake ukiambatana na viongozi wamewaacha baadhi ya wachezaji kutokana na sababu mbalimbali wakiwemo John Bocco na Aishi Manula ambao ni majeruhi.
Wale waliopo kwenye msafara ni Henock Inonga, Mohamed Hussein, Fabrince Ngoma ambao ni miongoni mwa wachezaji waliopo kwenye msafara huo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.