Kipigo cha 2-1 Kutoka Kwa Sunderlnd Cha Muumiza Kocha Howe wa Newcastle

Kocha wa Newcastle United, Eddie Howe, amesema ameumizwa sana na kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Sunderland katika dabi ya Tyne-Wear, akisisitiza kuwa bado amejiweka kikamilifu kuinoa timu hiyo licha ya matokeo mabaya.

Kipigo cha 2-1 Kutoka Kwa Sunderlnd Cha Muumiza Kocha Howe wa NewcastleMatokeo hayo yamekamilisha wiki mbaya kwa Newcastle baada ya pia kutolewa kwenye UEFA Champions League kufuatia kichapo cha mabao 7-2 kutoka kwa Barcelona, huku wakishuka hadi nafasi ya 12 kwenye Premier League.

Kipigo cha 2-1 Kutoka Kwa Sunderlnd Cha Muumiza Kocha Howe wa NewcastleUshindi huo umeifanya Sunderland kuendeleza rekodi yao nzuri dhidi ya Newcastle katika ligi, wakiwa hawajapoteza kwa miaka 15 na kufikisha michezo 11 bila kufungwa katika dabi hiyo ya jadi.

Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa  

Kocha Howe alikiri kuwa hana visingizio kutokana na kiwango kibovu cha timu yake, huku mashabiki wakionyesha kutoridhishwa kwa kupiga kelele za kukataa baada ya filimbi ya mwisho.

Kipigo cha 2-1 Kutoka Kwa Sunderlnd Cha Muumiza Kocha Howe wa NewcastleAkizungumza baada ya mchezo huo, kocha Howe alisema “Ni maumivu makubwa sana, hasa kwa mashabiki wetu. Sina visingizio, hatukufanya vizuri na lazima tukubali lawama.”

Kipigo cha 2-1 Kutoka Kwa Sunderlnd Cha Muumiza Kocha Howe wa NewcastleAliongeza kocha huyo “Nimejitoa kikamilifu kwa kazi hii, lakini nimevunjika moyo na kiwango changu na timu kwa wiki hii. Tunahitaji kujirekebisha haraka katika mechi zijazo.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.