Serie A Ruksa Mazoezi

Vilabu vya Serie A vitaanza mazoezi ya kikosi kizima Jumatatu baada ya kupata ruhusa kwa Waziri Mkuu wa Italia Giuseppe Conte.

Serikali ya Italia imethibitisha klabu zinaweza kuanza mazoezi ya wachezaji wote kwa mara ya kwanza tanguLigi isimamishwe Machi 9.

Vilabu viliruhusiwa kuanza mazoezi Jumatatu iliyopita lakini kwa mtu mmoja mmoja na kuheshimu umbali wa mtu na mtu.

Kwenye kikao na waandishi wa habaru Jumamosi, Conte amesema: “Kwanzia Mei 18 maduka, saluni za kike na kiume, baa, migahawa, mazoezi ya timu za mpira wa miguu na makumbusho zitaweza kufunguliwa.

Waziri Mkuu wa Italia Giuseppe Conte.

“Lakini ni kwa kuhakikisha sheria na maagizo yote yanafuatwa na kudhibitiwa na kanda maalum.”

Hakuna tarehe iliyowekwa kwaajili ya Serie A kuanza lakini imeonyesha mwanga kwa klabu zilizopiga kura Juni 13.

“Tunatakiwa kuelewa kama hali itaruhusu Ligi kuendelea lazima tuhakikishe usalama kwa 100%. Lazima tujidhatiti sana, tuna matumaini tutaanza haraka iwezekanavyo,” ameongeza.

Juventus ndio vinara wakati Ligi ikisimama, kwa pointi moja juu ya Laizo.

38 Komentara

    Vzr waziri conte.

    Jibu

    mambo n motoooo meridianbet mpo juuu

    Jibu

    Weekend zinarudi kuchangamka na soka tenaa…

    Jibu

    Thanks kwa habar Moto moto

    Jibu

    Burudani inarudi tena

    Jibu

    Thnks meridian za Moto moto

    Jibu

    Its a good sign for Serie A to be back!! all the best.

    Jibu

    Its a good sign for Serie A#meridianbettz

    Jibu

    Wazidi kuchukua tahadhari.

    Jibu

    asante waziri

    Jibu

    Vizur sana tahadhali Ni muhimi

    Jibu

    Habari nzuri sana hii asante@meridian

    Jibu

    Safi kabisa

    Jibu

    Habari nzuri Sana kwa mashabiki .

    Jibu

    Bora ligi zirudi tumemiss michezo sana

    Jibu

    Safii sana WAZIRI mkuu wa Italia mambo mazuri hayaaaa

    Jibu

    hbr nzuri wapenda soka .seria A inarejea fursa ndo hiyo wazee wa kubet.#meridianbettz

    Jibu

    Habari nzri kwa wapenzi wa soka

    Jibu

    Hbr nzuri ss kila weekend ni burudani tu

    Jibu

    Safi sana taraatibu mambo yanarejea kama mwanzo

    Jibu

    safi sana waziri

    Jibu

    Safi habari nzuri..kwa wapenda soka burudani si ndo hiyo .# meridianbettz

    Jibu

    Vizuri Sana

    Jibu

    daaaaaah afazali

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Wapige tizi tu wake watupe pesa

    Jibu

    Duuh afadhari ila waendelee kujikinga

    Jibu

    Mambo motoo meridianbet mko juu

    Jibu

    Hatimaye seria a inarejea

    Jibu

    Mambo Moto meridian mpovizuri

    Jibu

    Habari njema kwa wapenda Soka#Meridianbettz

    Jibu

    Hayo ndo maneno tulokuwa tunayasubiria.

    Jibu

    Mashabiki tunasubir kwa amu ligi msimu mpya..!

    Jibu

    Safi sana wazir

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Good news 👍# meridianbettz

    Jibu

    Habar nzur kwa cc wapenda soka #meridianbet

    Jibu

    Safii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.