Lampard Awapigia Debe Giroud na Willian

Kocha wa Chelsea Frank Lampard amesema anatamani klabu iwaongezee mikataba  Olivier Giroud na Willian hadi mwisho wa msimu.

Premier League imesema mapema wiki hii kuwa mikataba inayomalizika Juni 30 inaweza kuongezwa kwa muda mfupi hadi Ligi itakapomalizika baada ya pande mbili kufikia makubaliano.

Wote Willian, 31, na Giroud, 33, mikataba yao inamalizika kipindi hiki cha kiangazi na wachezaji wote wamehusishwa kuwaniwa na vilabu mbalimbali, Willian akitakiwa na Liverpool na Giroud Inter Milan.

The Blues itawapoteza wachezaji hao nyota kipindi hiki cha kiangazi, wakati Willian akitafuta klabu itakayompatia mkataba wa miaka mitatu na Giroud anatafuta klabu ya kumpa muda mwingi wa kucheza.

“Bado sina uhakika kama tunaweza kucheza. Tunawachezaji wakubwa mikataba yao inamalizika, hicho ni kitu cha kukiangalia kwa makini,”

“Wanaomaliza mikataba yao wamekuwa watumishi wazuri wa klabu na wanahisia kwa klabu.

“Ni kweli klabu lazima inwaangalie, kuhusu kurejea mazoezini sasa na kuhusu mwanzo wa msimu ujao lazima tufanye haraka ili tuhakikishe wapo sawa.

“Kwahiyo kuna kitu lazi tuangalie, ni matumaini yangu tutapanga namna ili kufanya mipango wabak na sisi.

“Napenda niwe na kikosi hiki misimu yote, lakini tunataangalia namna itakavyokuwa.”

43 Komentara

    Itakuwa ni faida kubwa sana kwa makinda kama Abraham na Mount kujifunza zaidi kupitia wao…

    Jibu

    namkubali sana willian anajua sana

    Jibu

    Ni habari nzuri sana ,asnte meridianbet .

    Jibu

    Wabaki wapewe wanachokihitaj ili Malinda wawez kujifunz kupitiah wao

    Jibu

    Daah..mashabiki wa Chelsea tutawamisi sanaaa..

    Jibu

    Wabaki ili mambo yaende vizur

    Jibu

    Ni kweli Olivier Giroud na Willian wanamchango mkubwa sana ndani ya Club ya Chelsea.

    Jibu

    asante meridianbet kwa update

    Jibu

    Willian yuko poa sana

    Jibu

    Asante meridianbet #

    Jibu

    Warudi tu

    Jibu

    Willian anajua kiungo mzuri

    Jibu

    Asanteee meridian kwataarifa

    Jibu

    Wilian Yuko vizuri sana

    Jibu

    Bora William aondoke tu Chelsea hata aende huko Liverpool abadilishe mazingira ya wachezaji

    Jibu

    Majanga.

    Jibu

    William yuko vizuri sana

    Jibu

    William yuko vizuri anajua. Kitu anachokifanya

    Jibu

    Wafanye haraka maana mawakala wa wachezaji ni watu hatari

    Jibu

    William yupo vizur sana

    Jibu

    haina haja ya kuwaongezea mkataba

    Jibu

    Bado wana makali kubaki katika kikosi cha darajani

    Jibu

    Itakua poa

    Jibu

    Itakuwa poa

    Jibu

    willian mchezaji muhimu pale chelsea .safi meridianbet kw hbr moto moto za michezo#meridianbettz

    Jibu

    willian mchezaji muhimu pale chelsea#meridianbettz

    Jibu

    willian bonge la mchezaji..sitegemee kuondoka pale chelsea bado anaitajika#meridianbettz

    Jibu

    Tunawashukuru sana meridianbet mnatupatia kile kilicho bora kwa sisi wateja wenu

    Jibu

    Wanamchango mkubwa sana kwenye timu

    Jibu

    namkubali sana willian

    Jibu

    Willian ni mchezaji muhimu ndani chelsea anahitajika kubaki asante meridianbettz kwa taarifa nzuri za michezo.

    Jibu

    Kawaona ni wachezaji wanaompa Raha wanapokuwa uwanjani

    Jibu

    namkubali sana willian

    Jibu

    Tunashuru meridani kwa taarifa

    Jibu

    William no mchezaji mzuri naona abaki tu chelsea

    Jibu

    Chelsea..! Msiwapoteze majembe hao..!mtashuka viwango

    Jibu

    Jamaa yuko vzr bdo anaitajika pale

    Jibu

    It’s time to say thank you Willian and Giroud and give chance to younger players #Meridianbettz

    Jibu

    Kijana yuko vizurii william

    Jibu

    Willian Yuko vizuri sana

    Jibu

    Kocha yuko sahihi kwani wachezaji hawa walikuwa na msimu mzuri Sana na walikuwa wachezaji wanaojituma Sana uwanjani

    Jibu

    Giroud na William wako vzur

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.