Bondia Floyd Mayweather ameomba kulipia mazishi ya Mmarekani mweusi aliyeuawa akiwa mikononi mwa polisi George Floyd.
Kifo cha George Floyd kimeigusa jamii kubwa ya Waafrika weusi, wanamichezo na wanaharakati wengi wa masuala ya ubaguzi wa rangi na kupelekea maandamano kule Minneapolis ambako kifo hiki kilitokea.
Floydalikamatwa na polisi wanne kwa kuhisiwa kughushi bili na kisha akakandamizwa kwa goti shingoni na askari aliyeitwa Derek Chauvin kwa zaidi ya dakika 10 akiwa analalamika kuwa “Nashindwa kupumua” na askari aliyekuwa akimkandamiza akapuuzia, ikitajwa kuwa ndiyo sababu ya kifo chake.
Si kifo cha kwanza cha Mmarekani mweusi kinachohusiswa na ubaguzi. Wanamichezo wengi weusi na wasio weusi na wanaharakati ambao wameguswa na kifo cha George wametoa yaliyo ya moyoni na kutoa wito wa mauaji ya aina hii yanayohusiana na ubaguzi wa rangi yanayotekelezwa polisi au raia wa kawaida kufika mwisho.
Floyd Mayweather alitangaza kupitia ukurasa wake rasmi wa Twitter kuwa ameta ofa ya kugaharamia mazishi ya George kwa familia yake. Vyanzo kadhaa pia vimethibisha kuwa familia imekubali ofa hiyo.
Polisi amabaye alihusika na kifo cha Floyd tayari anaripotiwa kuwa amefutwa kazi na anashikiliwa kwa makosa ya daraja la tatu na daraja la pili ya uuaji. Askari wengine watatu waliohusika wakati wa ukamataji hawajafunguliwa mashtaka.


Rehema Dickson
Mungu akubariki sana Mayweather akuongozee ulipo toa,,na marehemu apumzike kwa aman
Antony Luseno
Kifo cha mtu mweusi marekani kimeamsha hisia za wengi mno na mayweather kujitolea kwa gharama hizo ni kuonyesha hisia zake kwa wajina mwenzake
Ester jackson
Ni watu wenye moyo kama huo mungu ambariki sana ampe hitaji la moyo wake kama unavyo hitajika
Adelta
Mayweather mungu atakulipa
Na uzidi kuwa na moyo huo
Juliana
Inauma sana ila ndio ishakuwa hivyo,pumzika kwa amani mweusi mwenzangu Amina🙏🙏
Neema hassan
Mungu akuongezee pale utakapotoa maywearther..
Hope mwaikuka
Aisee ubarikiwe sana kwa hilo
Neema juma
Hii inasikitika sana.laana nyingine ni za kujitakia
aisha
Mayweather utabarikiwa
Theckla
Mungu ambariki
Warda
Imeumiza kila mtu kwa Kweli #Meridianbettz
Salma
Ubarkiwe
Samiah
Mungu atakulipa kwa moyo wako
felister
hongera Mayweather uendelee na moyo huo huo usiishie apo
Isaya massawe
Kafanya jambo jema na LA kuigwa
Evaluziga
Mayweather mungu atakulipa
Mariam mtandama
Abarikiwe
Furahav
Vizuri kijana,lazima tupendane mana tofauti ni rangi ila mtu mmoja.
winfrida
unamoyo wa pekee maywether mungu akubariki
Elika
Walichokifanya askari wa Marekani sio jambo la kiungwana…Mungu atalipa kwa mywhether kwa upendo wake
Frank Patrick
Hii inatafasirika kama kuguswa kwa hali ya juu ijapokuwa wachache wataibeba kama kujikweza ….so sad moment kwa wajina wake ….#Justice for Floyd
Emmy cleopa
Ubalikiwe sana
Mwanaidi
Ni jambo zuri sana aliloamua kulifanya Mayweather kulipia mazishi ya George Floyd kwani mungu amzidishie kwa uungwana wake Mayweather
David pere
Ni vizuri kudikisha ujumbe kwa wanajifanya kuwa dunia ni yao Ila ipo siku Mambo yatabadilika
Shafii
Safi Sana aendelee kua na moyo Kama huo
Christopher
Huyu jmaa kapata umaarufu baada ya kufa, maana familia yake ishapata pesa nying had sasa na zinaendelea
Lydia Emmanuel Magoti
Safii sana pongezi kwake mwamba Mayweather mungu abaliki
Asia Abdy
So sad..hongera Mayweather
Gabriel
Mayweather ameonyesha moyo kwel kwa hili Jambo inafaa kuigwa
Sadick
Duh Suala George Floyd limeleta tafurani duniani, Mayweather ameona hiyo ndio namna ya kuonyesha kuguswa kwake#meridianbettz
Zeiyana
Ongera mayweather..! Umewakilisha wa African
amani
Si kifo cha kwanza cha Mmarekani mweusi kinachohusiswa na ubaguzi vitendo ivi vimezid kuongezeka viongozi wanaitaji kujitasimini
Caroline
Mungu atawalipa wote waliohusika.inauma sana
Magdalena
Jambo zuri alilolifanya Mungu atambariki kulingana na wema wake
Povel
Kutoa ni moyo Wala si utajir
dorophina
Kifo chake kinasikitisha mungu akubariki maywether
Mwajuma
Ni jambo zuri sana kufanya hivyo maana anamuenzi kwa Hishima kubwa
Mwanahamisi
Habarikiwe sana
Kenani
Dah kifo Cha George kinaumiza sana
mathayo sonje
huu ndio uungwana na umoja unaotakiwa, hiki ni kitu kibaya sana ila kwa kua ni mweusi litaishia hewani tuu bila hatua kubwa kuchukuliwa, HONGERA MAYWEATHER
Ernest
Swala la ubaguzi limekuwa likitunyima haki na fursa sana waafrika katika nchi za wenzetu, Sijui lini litafikia mwisho hili jambo, Its time for the whole world to stand as one
mwakalosi
so sad, his death arousal brutality feeling against police officers
Tahiya
Ni huzuni ubaguzi cyo mzur ongera mayweather kwa kujitolea uko
Rehema
Abarikiwe sana
Agness
Aisee mungu akubariki akuzishie pale ulipo papunguza
Hamidu
Asante kwa ukaribu wa mwezi mungu hakubaliki.