Bayern Munich anahitaji ushindi kwenye mechi mbili kati ya nne zilizosalia kuwa mabingwa kwa mara ya nane mfululizo baada ya jana kuichapa Bayer Leverkusen.
Hansi Flick amepoteza mechi moja kati ya 21 kwenye michuano yote.

Kingsley Coman, Leon Goretzka na Serge Gnabry wote walifunga alifunga baada ya Lucas Alario kufungua.
Robert Lewandowski amefunga goli lake la 30 msimu huu.

Bayern wamepoteza mechi mbili tu kwenye mechi 26 tangu Flick kuchukua mikoba ya Niko Kovac Novemba.


Ernest
Bayern Munich Naona wanakosa wapinzani taratibu
Elika
Safari hii Munich watashinda tuuu
Rehema
Sijajua kwa kweli ngoja tuone maan ngoma tete
Neema juma
Jamani wasikate tamaa mambo yatakaa sawa
Salma
Mambo yanaweza kuwa magumu kwa upande wao
Mwanaidi
Kweli mambo yanabadilika aise duu
Dorophina
Safari hii wanaweza wakashinda wasikate tamaa
Asha mvugalo
Hii Bayern ni hatari sana.
Tahiya
Sidhani kama lipo la kumfanya baryen asichukue ubingwa na msimu huu
Sadick
Kazi nzuri Hansi Flick kwa kazi nzuri. Ubingwa unakuwa na msisimko unapombaniwa mpaka siku ya mwisho#meridianbettz
Samiah
Bayern nihatari sanaa
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Ester mmakasa
Bayern wanatakiwa wajitahidi ili wapite hapo waliko.
Hope mwaikuka
Wakaze tu
Theckla
Wajitahidi wachukue ubingwa tu
Genia Sikaluzwe
Wanaweza kushinda Bayern asikate tamaa
Antony Luseno
Bayern tayar bingwa hamna wa kumzuia kwenye bundesliga
isha
Bayern wako vizuri sana
Adelta
Sijajua kwa maana hapa pagum
Devotha
Wasikate tamaa
Ester jackson
Bayern Munich hawakukaa kizembe nyumbani kwani wamekuja kwa kasi sana watapata tu ushindi
winfrida
bayern wako vzuri
felister
bayern km bayern izo mechi zilizobakia lazima atoboe
Sylvester
Bayenr ndi mamwamba na mabingwa wa sasa Ujerumani #meridianbettz
Khadija
Bayenr munch wapo vzr#meridianbettz
Zeiyana
Bayern wanatunisha misuli kwa vibonde wao
Zeiyana
Naona Bayern wanatunisha misuli kwa vibonde wao
mwakalosi
bayern mwamba wa ujerumani
Christopher
Hawana mpinzani
mathayo sonje
hili ndio tatizo la bundesliga, maana bayern wanaonekana kutawala ligi na hakuna anayepinga na kumpiku;
Hamidu
Wapeni tu ubingwa waoo…Kila siku bingwa yule yule
Mwajuma
Hapo alipofikia bayern hana mpinzani
Furahav
Vizuri.
Emmy cleopa
Bayern wako vizur
Mwanahamisi
Wanaweza kushinda Bayern wasikate tamaa
Lydia Emmanuel Magoti
Bayern tari bingwa akuna atae mzuiya kwenye Bundesliga
lombo
bayern hana mpinzan bhn kuanzia ligi ya kwao hadi klabu bingwa nahisi lazima atachukua yey tu kwa msimu huu
Shafii
Ni ligi ya timu moja hana mpinzani
Kenani
Mpira unamajabu mengi mbili wanzosema no nyingi hzo
Aziza mushi
Bayern wakazee ili wachukue ubingwa
Agness
Wajitahidi wakaze buti
Frank Patrick
League inakosa mpinzani wa kudumu mara 8 anachukua yeye tu
Rehema Dickson
Ni zamu ya mwenzie sasa kashachukua vya kutosha sasa awaachie na wengine
julieth boniface
hawa mabingwa tu
Warda
Wapewe tu ilo kombe lotelote #Meridianbettz
David Pere
Kweli bundasiliga aio ligi Bora ,Ndio maana kila mwaka Bayern wanakuwa mabingwa tu hii ni hatari sana
Isaya massawe
Ubingwa upo mikononi mwao Bayern maana awanaga masihara
Magdalena
Bayern kazeni buti kombe ni lenu
Caroline
Wanashinda Bayern.nawaaminia
Povel
Bayern Munich wamekosa washndan kabisa ujerumani
Theonestina
Bayern wanatishaa
Hidaya
Ushindi lazima
Amani
Bayern Munich Naona wanakosa wapinzani taratibu kombe lake akuna wakufanya maajabu