City Wamtaka Ismael Bennacer

Real Madrid wanaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo, Ismael Bennacer kutoka AC Milan. Ismael Bennacer anaweza kurejea Premier League baada ya kuondoka Arsenal kama boya akiwa amecheza mechi moja kwenye kikosi cha wakubwa.

City nao wanamuangalia kwa jicho la tamaa kwani wanamuangalia kama mbadala wa David Silva ambaye ataondok mwishoni mwa msimu huu.

Nyota huyo mwenye umri wa miaka 22, aliyejiunga na Rossoneri kutoka Empoli majira ya joto yaliyopita, inaaminika kuwa na kifungu cha uhamisho wa €50m katika mkataba wake.

Klabu za Manchester City na Paris Saint-Germain pia zimehusishwa kumtaka kiungo huyo wa Kimataifa wa Algeria, na PSG inaaminika tayari wametoa ofa ya €30m kupata huduma zake.

47 Komentara

    Gud news

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa man city
    Kama watakuwa wamemsajili

    Jibu

    Hawa madrid wanamtaka kila mchezaji? sio kwa tamaa hizi, huku wanavutana na man u kwa van de beek, huku tena wanavutana na man city kwa bennacer, wapunguze tamaa bana

    Jibu

    Man City wamsajili wasikubali kumkosa

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa

    Jibu

    Hawa Man City Wana tamaa Sana kila mchezaji wanamtaka wao tu

    Jibu

    Kwa man City itakua sahihi kwake,pia bora aende akapate changamoto mpya

    Jibu

    Mchezaji mahili usajiliwa na timu mahili inapendeza

    Jibu

    inabidi afanye uwamuzi sahihi

    Jibu

    Man city mwaga mpunga mezani

    Jibu

    Arsenal walipoteza Lulu bila kujua

    Jibu

    Fundi huyo jamaa

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Inabidi afanye huwamuzi sahii

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Duh Madrid wanamtaka kila mchezaji Yan.

    Jibu

    Kila timu inaitaji kuboresha kikosi chake ila nivyema Waka fanya usajili wenye tija sio Bora usajili nawasilisha kwako mwalimu kashasha#meridianbettz

    Jibu

    Mchezaji akishahitajika na timu nyingi uwa mwisho wa siku wakala wanaharibu deal zao

    Jibu

    Ni mchezaji mahiri sana ndio mana wanamtaka

    Jibu

    Du! Madrid wanamtaka kila mchezaji

    Jibu

    Ni sehemu salama kuwepo

    Jibu

    Ni mwendo wa usajir na kutunishiana misuli kwa kablu zenye mpunga msimu huu wa usajir apo

    Jibu

    Walifanya kosa kubwa arsenal

    Jibu

    Najua wanamjua alivyo mchezaji mzuri wajitahidi wasimpoteze

    Jibu

    ukiona ivyo ni kiungo mzuri na ndomana kila mtu anamtolea macho

    Jibu

    Ataisaidia pakubwa city

    Jibu

    Ismael usiondoke

    Jibu

    City nao kila mchezaji wanamtaka #Meridianbettz

    Jibu

    Bora aende zake man city

    Jibu

    Habari kedekede za michezo na meridian

    Jibu

    Mchezaji mzuri anajituma..

    Jibu

    Ni habari ya kufurahisha sana kwetu mashabiki.

    Jibu

    Waache tamaa yakutaka kusajiri kila mchezaji wanae muona mzuri wafanye jitihada kuboresha kikosi

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Habari zakufurahisha sanaaa

    Jibu

    dogo yuko vizuri aende tu

    Jibu

    Mwache arudi ndani ya EPL akipigeeee

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Ni sawa tu

    Jibu

    Wafanye hvy tu itakua poa sana

    Jibu

    Nihabari nzuri

    Jibu

    Ni mchezaji mzur sana watakua wamepata bonge La mchezo

    Jibu

    Mmh wamchukue tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.