Sare ya bila kufungana kati ya Liverpool na wenyeji Everton imewafanya Liverpool kuongeza alama moja hivyo kuwa na alama 23 mbele ya Manchester City wanaoshika nafasi ya pili katika msimamo wa ligi hiyo.
Kama vijana hao wa kocha Jurgen Klopp wangeshinda mechi hiyo, na kisha kushinda mechi ijayo dhidi ya Crystal Palace siku ya Jumatano, wangejihakikishia kubeba kombe la EPL ambalo hawajalibeba kwa miaka karibia 30 sasa!
Matokeo hayo yanamaanisha kuwa watatakiwa kusubiri washinde mechi yao ya Jumatano, huku wakimuombea mabaya Manchester City apoteze dhidi ya Burnley jumatatu ijayo.
Kocha wa Liverpool, Jurgen Klopp anaamini kuwa Everton walicheza vizuri zaidi yao na walistahili kushinda, hivyo matokeoa hayo ya sare ni bora zaidi kwake. Licha ya Liverpool kuwa na umiliki wa mpira wa zaidi ya asilimia 70, walifanikiwa kupiga mashuti matatu tu yaliyolenga lango!
Everton walionesha uhai mara zote waliposhika mpira kwa kupeleka kizaa zaa katika lango la Liverpool. Kama isingekuwa kwa mlinda mlango Alisson Becker, Liverpool wangepoteza mechi hiyo na hivyo kuwa mechi ya pili kupoteza tangu kuanza kwa msimu huu wa ligi.
“Sote tumeona nafasi alizookoa Alisson. Hakika alikuwa katika kiwango kizuri, ilikuwa mechi ngumu kwake. Mara nyingi mpira ulimkuta miguuni kuliko katika mikono yake” Alisema Klopp, “Hivi ndivyo golikipa bora anapaswa kuwa. Ametusaidia kupata alama moja muhimu”.


Shafii
Still kombe ni lao tu msimu huu hana mpinzani
Hamidu
Liverpool msimu bingwa! Ila subirini mpaka mwisho mwenye point zao wazichukue#.meridianbettz
Gabriel
Siku zote wahenga tunasema haya ni maneno ya mkosaji akikosa lazima ajifanye akutaka miaka 30 before ata mm sijazaliwa mpka napata akili hawajawai kuchukua kombe la EPL kiukwel Liverpool hawajawai kutoka salama akiwa Everton nyumban ukiangalia misimu mingi Everton wakiwakazia sana Liverpool na wasije kujiamin maana hata crystal palace sio watu wazur matokeo yanaweza kubadilika ndan ya mechi 9 zilizobaki
# meridianBetTZ
mwakalosi
huu ubingwa ni wao tu
isha
Liverpool tena kombe ni lakwao hapati mtu mwingine
Issa
Liverpool wakipoteza ubingwa msimu huu
Itakua ni miujiza na historia isiofutika kwenye soka la epl
Samira
Huu ubingwa ni wa liverpool tu
Dorophina
Liverpool hana mpinzani kombe ni lao ht iweje
Neema juma
Liverpool inazidii kutupa raha sana
Povel
Liverpool bingwa 2019/2020
Furahav
Tunasubili tuone km liver watachukua.
Sadick
Hakuna mechi rahisi wanakutana Liverpool na Everton. Hamu yangu kuona Liverpool wanachukua ubingwa#meridianbettz
Ernest
Jana Liver walikuwa wanapotea Alisson alifanya kazi kubwa sana.
Amiri Kayera
Ila bingw wao watachelew t
Omary lukumbi
Hakuna cha kujichelewesha hapo hao jana walizidiwa maarifa yule mtoto wa kibrazil alimwambia van dijk ila jana everton walistahili kushinda mechi ile walipoteza sana nafasi
Njiku
Klopp kama hatochukua hili kombe itakuwa uzembe wa hali ya juu licha ya kutoa sare na everton bado wananafasi nzuri ya kuwa mabinhwa wa EPL ila mechi inayokuja sio poa aise crystol palece pia wapo poa sanaa kucheza na mechi kubwa liverpool wafanye kazi sana kupata arama tatj dhid ya crystol palace
Sabrina
Maoni:Liverpool wanajiamini watachukua ubingwa
Leonard
Ubingwa ni wao watachelewa ila watafika
Mwajuma
Hongera kwao Everton jana walicheza vizuri sana
Aziza mushi
Huu ubingwa ni wao tu.
David Pere
Liverpool na Evaton wanajuana wote wanatoka mtaa mmoja, Na huwa kupata ushindi pale inategemea Evaton wameamkaje
Tahiya
Ulikuwa ni mpira mzur sana kuaangalia ila siyo mbaya sana kwa Liverpool nadhani wanategea mechi yao na man city ndio watagaze ubingwa kibabe
Theckla
Wapambane wachukue ubingwa
fatumakasomo
Jana liver walikua wamepotea alisoon walifanya kazi kubwa
Hope mwaikuka
Wanataka wenyewe shaur yao
Ester mmakasa
Mungu isaidie Liverpool ishinde tuu maana naipenda mno.
Neema hassan
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Janeflora malisa
Nice #meridianbet
felister
bado bingwa hajajulikana ngoja tuone
Frank Patrick
Nice speech boss Jurgen
Hilda
Hakika liver wanajianin
Mwanaidi
Lazima wachukue liverpool ubingwa
Samiah
Liverpool niwatu wakujiamini sanaaa
farida ahmadi
Kweli kabisah Liverpool wanajiachia Sana wasipende mteremko inabidi wakaze buti ili wachukue ubingwa wao kabisah wasifanye masihara kabisah wanabidi wakaze buti ili watwae ubingwa
warda
Duuu ubigwa sio lelemama ila liver wanauhakika wa kuchukua#Meridianbettz
Latifa juma mohamed
Wanajiamin kombe ni lao
Magdalena
Liverpool nao washaanza kuyumba
Lydia Emmanuel Magoti
Liverpool kombe nilaho Hilo wanajiamini asilimia yote apingwi hiyo
Johnmary joel
Wazidi kuongeza bidii liverpool#meridianbett
Genia Sikaluzwe
Ubigwa ni waniwakwao hata iweje
Caroline
Liver atachukua ubingwa
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Zeiyana
Mfa maji haachi kutapatapa hayo maneno tu kiukweli Liverpool hawajawai kutoka salama wakiwa na Everton
Evaluziga
Kombe Ni lao msimu huu hawana mpinzani
Rehema
Liverpool inatisha asikwambie mtu
Antony Luseno
Watachelewa tu lakini ubingwa wao
Ester jackson
Kama isingekuwa kwa mlinda mlango Alisson Becker, Liverpool wangepoteza mechi hiyo na hivyo kuwa mechi ya pili kupoteza tangu kuanza kwa msimu huu wa ligi hakika Everton walijituma sana
Christa
Wasikate tamaa, wanaweza kuchukua ubingwa
Adelta
Asante kwa taarifa meridianbet
Salma
Ubingwa ni wao Liverpool
Amani
Hamu yangu kuona Liverpool wanachukua ubingwa#meridianbettz
Theonestina
Nasibir kuona Nani haswa atachukua kombe
Saupha Mohammedan
Liverpool IPO vizirii sana
Saupha mohamed
Liverpool IPO vizuri
Mwanahamisi
Liverpool kiboko yao
Elika
Hata iweje Liverpool ubingwa wao
tumaini
Maoni:ubingwa ni wao liverpool bado kutangazwa
Khadija
Kombe lao tu msimu huu hawana mshindani#meridianbettz
Devotha
Bado wao ni washindi
Emmy cleopa
Liverpool wapo vizur
Angelina
Liverpool wanastahili ushindi