Mike Tyson amebainisha kuwa pambano dhidi yake na Muhammad Ali lingekuwa kibarua kikubwa kwake. Angelazimika kupambana kwa raundi 15, kama sio kuchapwa kwa sababu asingeweza kumpiga KO legendari huyu.
Mabingwa hawa wote wanachukuliwa kuwa mabondia bora wa wakati wote, huku mashabiki wengi wakitamni wangekuwa wamekutana ulingoni.
Muhammad Ali pia, aliwahi kunukuliwa akimueleza George Foreman kuwa anadhani angepigwa kama wakipambana na Mike Tyson. Lakini sasa ‘Iron Mike’ ameamua kuweka wazi mtazamo wake, akiona kuwa kiuhalisia ingekuwa vita ambayo hadhani kama angeishinda.
Kutokana na uhaba wa michezo katika likizo ya Corona, ilikuwa fursa ya waandaaji wa michezo ya mtandaoni kuandaa mfano wa pambano la malegendari hawa. Katika pambano hili la mtandaoni, Tyson alishinda kwa pointi.
Akizungumza kupitia mitandao yake ya kijamii, Tyson anasema angelazimika kujiandaa kupambana raundi 15. Hakuna namna angeweza kumpiga KO (Knock Out).
Mike anasisitiza kwa kusema ili uweze kumshinda Muhammad Ali, ni lazima umuue kwanza ndiyo upate ushindi.
Povel
Mikel Tyson legendary wa ndonga mwenye historia yake thnks meridian kwa update za michezo
mwakalosi
kaongea ili kumpa heshima tu
Gabriel
Kiukwel wote wanahistoria nzur japo kila mmoja anamzungumzia mwenzake kuwa angempiga ila ukwel n kwamba kila moja anaonekana kuvutiwa na mchezo na mwezake kwa upande wa Mohammed Ali na Mike Tyson ila Kama ungetokea tungefurahia mapambano
# meridianbet
Neema juma
Mike naona anasisitiza ili umshinde Muhammand ali ni lazima umuue ndiyo upate ushindi neno zito duu
Dorophina
Tyson najua uwezo ano wa kumchapa anaongea tu
Samira
Mda mwingine unaweza kumifia mtu kitu ambacho unajua kisingewezekana kwake kwasababu ya heshima uliyonayo kwakwe au kum motivate zaidi
isha
Sawa bora umeongea ukweli
Sadick
Wote walikuwa mabondia wazuri enzi zao#meridianbettz
Issa
Alli ni boxer mahiri kumshinda ilibidi ujikaze sana
Ernest
Mike na Alli walijiwekea heshima kubwa sana kwenye ulimwengu wa ndondi, nakumbuka wakubwa wakisumulia Mike anampiga mtu wakati watu bado wanaingia uwanjani kucheki pambano!!! Dahhh sipati pichaaaaa
Shafii
Kila mmoja alikua Bora katika career yake ya ngumi za kulipwa uzito wa juu duniani ote nawakubali
Hamidu
MohAmed ally alikuwa bora sana enzi zake. Tutakukumbuka daimA#meridianbettz
Amiri Kayera
Mabingwa hawa
Edgar
sizani lakini vzr wangepigana ndo tungejua mbabe nni
Njiku
Mike alikuwa vizuri sanaa ila sio kwa mohammed ali alokuwa yupo fiti sana ila wote wa kali kama wangekuta aisee mmoja angekufa uwanjani kati ya mike na mohamed ali
Sabrina
Maoni:Hao wote ni mabondia wazuri ila Mike Tyson kaongea hivyo ili kumpa heshima Mohamedi Alli
Mwajuma
Yupo sahihi Mohamed Ali alikuwa sio mtu wamchezomchezo
Omary lukumbi
Kweli kila mmoja ana historia yake kwenye nyakat zake mikel tyson mtu mwenye rekod yake dunian na hata muhammed ali naye alikua moto wa kuotea mbali
Leonard
Muhammed Alli tishio
David Pere
So kweli pambano Lao lingekuwa gumu sanaa maana wote ni watu hatari sanaa
Tahiya
Mike na Ally watabaki kuwa mabondia bora wakat wote
Theckla
Kiukweli wote walikuwa bora
Fatuma kasomo
Wote walikua mabondia wazur enzi izo
Hope mwaikuka
Kumbe ndo ilkua
Ester mmakasa
Kweli mafahari wawili hawakai zizi moja Mike Tyson alivyokuwa mbavu leo anakiri ivo duuh!
Aziza mushi
Wote walikuwa Bora
Neema hassan
Mohammed ally alikuwa tishio..
Frank Patrick
Mike Tyson ameonyesha ni kwa jinsi gani anamuheshimu na kumkubali rol model wake
Mwanaidi
Kampa heshima tuu
Samiah
Alikuwa tishio huyo
warda
Mchezo wa ngumi hautabiliki ukimuotea mtu kwisha habari yake#Meridianbettz
Magdalena
Iyo naona kaongea tu kumrizisha
Latifa juma mohamed
Mike Tyson mwanamwasumbwi aliyetengeneza historian ya pekee dunian.
Johnmary joel
Ni vizuri kukili kuwa unaweza kupigwa huu mchezo ni hatari#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Mike Tyson kaongea kampa eshima tuu
Genia Sikaluzwe
Mmh kumbe iko hivyo
felister
Kila mmoja alikua alikua ana uwezo wake
Caroline
Mbona kajishusha
Mariam mtandama
Duuuh
Zeiyana
Kiukweli wote wana history nzuri na kila mmoja anaonekana kuvutiwa na mchezo wa mwenzake tungefurahi mpambano huu kama ungetokea..!
Evaluziga
Kuongea ili kumpa heshima
Rehema
Wote walikuwa wa babe
Furahav
Angekufa mtu hapo.
nasra
Alikuwa sahihi kusema hvyo
Adelta
Wote wako sahihi
Salma
Wote walikuwa bora
Ester jackson
Mabingwa hawa wote wanachukuliwa kuwa mabondia bora wa wakati wote ila kama wangekutana ulingoni ingekuwa bora zaidi tungejua nani anauwezo zaidi mana wote wakali
Amani
walikuwa mabondia wazuri enzi zao#meridianbettz
Theonestina
Mike Tyson ameshazeeka sikuizi
Saupha mohamed
Mike Tyson MTU mwengine kwenye ngume kamweshimu tuuu ndomaana kaongea ivyoo
Mwanahamisi
Wote wababe katika upambanaji
Elika
Mike Tyson na mohamedi ally wote wako vizur wanastahili kilicho bora
Khadija
Walikuwa mabondia wazuri enzi zao#meridianbettz
Devotha
Huu mchezo sijawahi kuuelewa
Angelina
Tyson angeua mtu😀
Emmy cleopa
Wote walikuwa bora
Asia Abdy
Tyson ana kiwangoo