Borussia Dortmund wana matumaini ya kukamilisha uhamisho wa kiungo Jude Bellingham kutoka Birmingham City.
Mnamo Agosti, Bellingham alivunja rekodi ya mshambuliaji wa zamani wa England, Trevor Francis kama mchezaji mdogo zaidi kuitumikia Birmingham, wakati alipoichezea timu yake ya kwanza akiwa na umri wa miaka 16 na siku 38.

Alifunga bao la ushindi dhidi ya Stoke kwenye mechi yake ya kwanza na hadi sasa kacheza mechi 36.
Manchester United walikuwa kati ya vilabu vilivyo onyesha nia ya kumsajili nyota huyo wa timu ya taifa ya England Under-17. Lakini Dortmund wanahisi wanaweza kutumia mfano wa jinsi Jadon Sancho amefanikiwa baada ya kuhamia Ujerumani kutoka Manchester City akiwa na umri wa miaka 17 na kumshawishi Bellingham afanye uamuzi wa kutimkia huko.


Furahav
Yuko vizuri kijana.
Povel
Habar njema kwake
Mwanaidi
Ni mchezaji mzuri sana na nikati ya wachezaji waliovunja rekodi ya ushambuliaji hapo zamani namkubali sana
Sabrina
Maoni:Jude Bellingham yuko vizur
Issa
Dortmund itafanya vizuri kumtwaa ili wawanie kuwapokonya ubingwa munich
Shafii
Itakua poa Kama watafanikiwa kumnyakua
Omary lukumbi
Vizr tuu kumchukua kinda kama huyu ukamkuza
Ester jackson
Habari njema sana
Njiku
Ipo poa hii safi sana
isha
Yuko vizuri sana
Zeiyana
Bonge la mshambuliaji kwa uwezo wake anaweza kuonesha maajabu makubwa sana Dortmund
Amiri Kayera
Ata wasaidia Sana wakimpata
Gabriel
Jude Bellingham n bonge la mshambiliaj hivyo kwa uwezo wake anaweza akaonyesha maajabu makubwa sana 👍
Iko poa hii
# meridianbet Tanzania
Theckla
Ataisaidia Dortmund kwa kiasi kikubwa
Mwajuma
Talent player
fatumakasomo
Nivuzuri tu kumchukua mtu km huyu na kumkuza
Theonestina
Saafi
Aziza mushi
Safiii atasaidia dortmund kwa kiasi kikubwa..
Johnmary joel
Nimchezaji mzuri sana#meridianbett
Samiah
Mchezaji mzuri sanaaa
Evaluziga
Ni habari nzuri sana
mwakalosi
Dortmund ni sehemu sahihi ya jude atapata nafasi nyingi za kucheza ukilinganisha na vigogo epl wanaowania sain yake
Hamidu
Dogo anAjua Sana ! Kama watamsajili atafi kwa mfumo pale Dortmund.
Rehema
Yuko vizuri sana
Saupha mohamed
Habari mzuri
Leonard
Vizur
Mwanahamisi
Mchezaji mzuri
Antony Luseno
Mchango wake tunatarajia utakuwa mkubwa
Elika
Jude yupo vizuri sana
Magdalena
Ili gonjwa bado linaendelea tuwe nalo kwa makini
Neema juma
Dogo yuko vizuri mno
Caroline
Hongera Jude
felister
good news
Dorophina
Itakuwa poa sana wakimnyakuwa dogo atawasaidia sana tu
Khadija
Habari njema sana#meridianbettz
Genia Sikaluzwe
Jude ni fundii sana
warda
Ka Jude kapo vizuri#Meridianbettz
Salma
Wapambane wampate
Amani
anaweza akaonyesha maajabu makubwa akiwa Dortmund
# meridianbet Tanzania
David Pere
Kwanza wamuuze Sancho Ndio maana wamchukue jude
Sadick
Mchezaji anaposajiriwa na timu kubwa katika umri kigezo kikubwa kinachotakiwa kuzingatiwa ni kupata nafasi ya kucheza ili kuimarisha uwezo wake maana benchi litaua kipaji chake#meridianbettz
Mathayo sonje
Jamaa anaweza
Devotha
Dortmund fanyeni bidii kumpata maana ni mchezaji mzuri atasaidia sana
Mariam mtandama
Anaweza mpira
Ester mmakasa
Kijana anafanya maajabu sana.
Hope mwaikuka
Bado kijana anafaa kwa kaz
Ernest
Kila la heri Jude Bellingham
Sabrina
Maoni:Kijana yuko vizur
Samira
Ni mchezaji mzuri na akifika Dortmund wajitahidi kuimarisha kipaji chake sio kumuweka bench
Angelina
Hapo atie mkwanja tu ni mchezaji mzuri
Emmy cleopa
Hongera kwakwe
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa poa Kama watafanyikiwa kumnyakuwa