Mchezaji wa Tennis namba moja kwa Ubora Duniani, Novak Djokovic amekutwa na Virusi vya Corona na yeye mwenyewe amethibitisha kuwa ana COVID-19.
Djokovic ni mmoja kati ya wachezaji wanne ambao walishiriki katika mashindano ya Adria Tour kukutwa na Virusi hivyo.

Adria Tour – maonyesho ya tenisi ambayo yalifanyika huko Serbia na Croatia katika wiki mbili zilizopita, yamefanya wachezaji wanne kukutwa na Corona pamoja nguli huyo, wengine ni Grigor Dimitrov, Borna Coric na Viktor Troicki.
Mke wake, Djokovic anayeitwa Jelena, pia kakutwa na Virusi hivyo ambapo wote kwa pamoja wataenda kujitenga kwa siku 14.


Cathe
Atapona inshaalah
Furahav
Pole sana.
Povel
Duh habar mbaya kwa mashabik wake na wapenda tenesi thnks meridian kwa update
Issa
Pole yake. Mungu ampatie nafuu ya haraka
Sabrina
Maoni:Daaah pole sana Novak Djokovic
Tahiya
Ni habari mbaya corona bado ipo tusichukulie Poaw
Ester jackson
Poleni sana kwa janga hili la corona mana ni tishio baada ya kufanya tu mazoezi ili unapo rudi tu uwanjani uwe vizuri limekukuta tatinzo na watu wako wakaribu pole sana mungu atakusaidia na wezako mtapona na kurudi katika majukumu mengine
Amiri Kayera
Duh mung asaidie apone
Gabriel
N habar ya kusikitisha sana kwa Djokovic kukutwa na corona kwan ata aliposhirikishwa katika mashindino
ambayo yanayofanyika marekan
Djokovic aligoma na kuomba
akae ndan lock down me nahisi
alijua kuwa alishaoatwa na tatizo ndo maana alisema hivyo
Tunatakiwa kumuombea bingwa namba
moja wa tenesi dunian apate
afya njema zaid
# meridianbet Tanzania
Omary lukumbi
Ni kitu kizur ukijitambua kua una virus hvyo kujitenga na wenzio kuepusha athar zaid kwa wengine
Theckla
Duuuu corona noma
fatumakasomo
Dah mungu amponye
Theonestina
Pole yake
Aziza mushi
Duh corona Atari sna pole yake.
mwakalosi
so sad to djokovic family
Saupha mohamed
Mungu atamsadia atapona
Mwanahamisi
Mungu atampa wepesi atapona
Zeiyana
Alipo shitikishwa ktk mashindano Djokovic aligoma me haisi alaishajua kama hanamaambukizi
Antony Luseno
Inasikitisha ila Mungu atamwekea wepesi atapona
Neema juma
Corona janga baya atapona tu
Evaluziga
Duuh corona inatisha jamani
David Pere
Wajitenge kwanza
Sadick
Miezi kadhaa iliyopita alisema hangekubali chanjo ya Covid 19. kama atapona mwili wake utatengeneza kinga dhidi ya Corona#meridianbettz
Ernest
Hii ni Habari mbaya sana kwa Djokovic kukutwa na Corona, Tunamtakia apone haraka
Samira
Pole sana mungu atakuponya na kurejea mchezoni
Asia Abdy
Pole sana
farida ahmadi
Duh pole sana