Chelsea Ruksa Upanuzi wa Uwanja

Uingereza yatoa ruhusa kwa Chelsea kuanza upya mpango wa kuupanua uwanja wake wa Stamford Bridge.

Kwa mujibu wa taarifa inaeleza kwamba serikali ya nchini Uingereza imetoa kibali kwa Chelsea kuendelea na mipango yake ya upanuaji wa uwanja wa Stamford Bridge ambao kwasasa unaingiza mashabiki 41,000 lakini ukipanuliwa unategemea kuingiza mashabiki 60,000.

Kibali hicho kimetolewa upya kwa Chelsea mara baada ya kibali kilichotolewa mara ya kwanza kuisha mwezi March-2020 lakini kutokana na athari za ugonjwa wa Covid-19 imeifanya serikali kuongeza kibali hicho kwa mwaka mmoja mpaka mwezi Aprili-2021.

Chelsea ilipata kibali cha kufanya upanuaji wa uwanja huo mwezi March-2017 na ilitakiwa kidumu ndani ya miaka mitatu ambapo Chelsea ilitakiwa kuanza upanuaji ndani ya miaka hiyo mitatu.

Lakini kwasababu ambayo haikutajwa Chelsea iliandika wakala baadae ikitoa taarifa ya kusimamisha mipango yote ya upanuaji wa uwanja huo unaopatikana mitaa ya Fulham jijini London.

Lakini sababu iliyotajwa kufanya mipango hiyo kusimamishwa ni mmiliki wa Chelsea, Roman Abramovich kuishiwa na kibali chake cha kuishi nchini Uingereza.

Hivyo kibali hicho kilidumu kwa miaka mitatu mpaka mwishoni mwa mwezi March mwaka huu kilipoisha rasmi.

Lakini katikati ya mwezi March inajulikana kwamba ugonjwa wa Covid-19 uliishambulia dunia haswa nchini Uingereza na kusababisha shughuli zote kusimamishwa ikiwemo ligi kusimamishwa.

Hali hiyo imekuwa sababu kwa Chelsea na serikali imesogeza mbele muda wa kibali hicho cha kuanza upanuaji kumalizika ambapo kwasasa kimesogewa mbele mpaka mwezi Aprili-2021.

Bajeti nzima ya upanuaji huo wa kiwanja inatajwa kufikia paundi bilioni 1.

46 Komentara

    Habar njema

    Jibu

    Itakuwa poa sana.

    Jibu

    Gud newz

    Jibu

    Bora wauongeze uwanja ili uwe na uwezo
    Wa kubeba watazamaji wengi

    Jibu

    Safi utakuwa uwanja mzur sana

    Jibu

    Jamni wameweka mbali sana mpaka mwakani daah ila powa zaidi wanaweza kuweka ramani ya uwanjani bora zaidi

    Jibu

    N habar njema sana 👍 kwa club
    ya Chelsea kuwa wameona vyema
    kufanya upanuz wa kiwanja cha Stamford bridge club ya Chelsea
    Nice update 👍
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Habar njem kwa wapenz wa Chelsea

    Jibu

    Ameamua jambo zuri sana

    Jibu

    Duuh ni habar njema hizo kwa club na mashabiki wake kuwa watakua na uwanja mpya na wa kisasa zaid

    Jibu

    Imekaa poa

    Jibu

    Habari njema kwa wapenzi wasoka

    Jibu

    Wanafanya vizur Sana

    Jibu

    Habari njema kwa club na mashabiki wake

    Jibu

    Safii Sana itakuwa uwanja mzuri saaana.

    Jibu

    Maamuzi mazuri#meridianbett

    Jibu

    Safi nihabari njema kwa wapenzi wa mpira

    Jibu

    sidhani kama bado Roman ana mipango ya kuendelea na uwekezaji mkubwa baada ya misuko suko yake na serikali ya uingereza

    Jibu

    Imekaa vizuri sana

    Jibu

    Habari nzuri kwa mashabiki wa Chelsea kwa upanuzi wa barabara#meridianbettz

    Jibu

    Kwa muonekano utakuwa uwanja mzuri sana

    Jibu

    Utakuwa uwanja bora sana kuliko hivyo ulivyo kwa sasa

    Jibu

    Wazo lao ni zuri kuboresha uwanja uwe bora zaidi

    Jibu

    Utakua uwanja Mzuri sana

    Jibu

    Uwanja matata sana

    Jibu

    Bora waongeze uwanja ili uweze kubeba mashabiki wengi

    Jibu

    Kwa muonekano utakuwa uwanja mzuri sana#meridianbettz

    Jibu

    Bora mashabiki elfu 60 ni wengi utakuwa uwanja wa kimataifa

    Jibu

    Hitakua vizuri sana kwa upande wa uwekezaji

    Jibu

    Wanadhani watachukua number moja kwa kiwanja bora#Meridianbettz

    Jibu

    Safi sana kwao

    Jibu

    Ila boss wao Ana moyo Sana kutoka kwenye mgogoro na selikali bado anataka kupanua uwanja nouma sana#meridianbettz

    Jibu

    Mambo ya pesa hapo kutumika sasa

    Jibu

    Endapo project hii itakamilika utakuwa moja ya viwanja vikubwa duniani#meridianbettz

    Jibu

    Utakua ni uwanja mkubwa na bora pale utakapokamilika!

    Jibu

    Habari mjema

    Jibu

    Utakuwa uwanja wa kimataifa sana kimtazamo.

    Jibu

    Vzur sana

    Jibu

    Stamford Bridge utakuwa bonge la uwanja

    Jibu

    Maoni:Habari njema hii

    Jibu

    Ni jambo zuri kwa Chelsea na mashabiki wake

    Jibu

    Habari njema sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.