Hatma ya Willian na Pedro leo

Leo ni siku ya mwisho ambayo Chelsea itaweza kuwapa mikataba mipya ya muda mfupi nyota wake, Pedro Rodriguez na Willian Borges.

Mikataba hiyo ya muda mfupi inamaanisha wataendelea kusalia Chelsea mpaka msimu huu utakapomalizika kisha watakuwa huru kuondoka.

Lakini wasiposaini mikataba hiyo inamaanisha itakapofika tarehe 30-Juni watakuwa huru kuondoka Chelsea ambapo Chelsea itakuwa bado haijamaliza michezo yake ya UEFA, ligi kuu Uingereza na Kombe la FA kwa msimu huu.

Inamaana leo ni siku yao ya mwisho ya kuamua kama watabaki au wataondoka.

51 Komentara

    Taarifa njema kwako

    Jibu

    Kama wasiposaini chelsea itawakosti maana kuna wana umuhimu kwenye kikosi

    Jibu

    Wasaini tu jamani bado tunawahitaji katika msimu huu

    Jibu

    dah willims ni mchezaji mzuri sana kama atasepa pale darajani najua klabu kubwa zatahitaji sahihi yake pia hivyo hivyo kwa pedro ni wachezaji wazuri

    Jibu

    Hatimaye imefikia muafaka maana kuna tetesi ambazo zinasemaekana kuwa majembe hayo yanaweza kuondoka xo n habar njema kutoka meridianbet kwa taarifa nzur ambayo inatupa muafaka kamil ya wakongwe hao wa Chelsea
    Pedro na William
    Have a great update 👍
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Thnks meridian bet tz kwa update

    Jibu

    Wasaini t ili waendelee kuepo

    Jibu

    Makala.nzuri

    Jibu

    Uwamuzi niwao sisi wengine watazamaji tu

    Jibu

    Asante meridian bet kwa update

    Jibu

    Duuh hii imekaaje ila sawa tuu ni muda wao kuondoka maana Chelsea ina hitajika kua na sura mpya sasa na soka la nguvu linalotokana na vijana

    Jibu

    Wabaki tu

    Jibu

    Duuuh atar

    Jibu

    Meridianbet mnanikosha sana

    Jibu

    Wasaini tu

    Jibu

    Makala nzuri Sana 👍

    Jibu

    Ni heri wasaini ili klabu ya cherlsea izidi kuwa himara#meridianbett

    Jibu

    Makala safi sanaaa

    Jibu

    ni muda wa kutumia shukrani na kuwajali mashabiki sasa tumalize wote na msimu

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    William & Pedro bado ni wachezaji muhimu sana pale Chelsea Kama wataondoka wataacha pengo kubwa sana.#meridianbettz

    Jibu

    Hao ni wachezaji wazuri wanaki tuu

    Jibu

    Wapewe mkataba mrefu tu

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Bora ya William abaki

    Jibu

    Wasaini tu hiyo mikataba na waendelee kubakia hapo

    Jibu

    Wasiondoke nawashauri wabakie tu waendeleze mkataba

    Jibu

    maamuzi wanao wao kusain ama la

    Jibu

    Ila wana mchango mkubwa sana Chelsea.

    Jibu

    Leo ndio leo hatimaye imefika muda muafaka majembe hayo kumaliza mzizi wa fitina

    Jibu

    Wasajiliwe tu waendelee kubaki apo

    Jibu

    Bora wachague kubaki mbona klabu ipo vizuri tu

    Jibu

    Ahsant meridian kwa taarifa

    Jibu

    Jamani wabaki tu tumeshawazoea .

    Jibu

    Bora wangebaki tyu

    Jibu

    ni muda wao kuondoka maana Chelsea ina hitajika kua na sura mpya sasa na soka la nguvu linalotokana na vijana#meridianbettz

    Jibu

    Watakubaliana tu maana bado viwango wanavyo Hawa wachezaji

    Jibu

    Willian amekuwa na mchango mkubwa sana kwa Chelsea#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Ni maamuz magumu sana hayo kuamua kubaki au kuondk

    Jibu

    Habari mjema

    Jibu

    Wafanye tu maamuzi magumu hapo

    Jibu

    Watajua wenyewe

    Jibu

    Maoni:Asante kwa taarifa

    Jibu

    William ametoa mchango mkubwa sana kwa Chelsea

    Jibu

    Waendelee kubaki chelsea

    Jibu

    Hao ni watu wa muhimu, chelsea ijitahidi kubaki nao

    Jibu

    Makara manzuri sana

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.